AJALI: Lori la mafuta lagongana na basi la Burudani uso kwa uso Soni, Tanga

Mkuu si mambo yote hutokea na watu wote huyajua...

Vilevile kutokujua kuhusu suala fulani haina maana kuwa jambo hilo halipo...

Kuwepo wakati wa sayansi na teknolojia hakuthibitishi kuwa kuna mambo yatokeayo ambayo sayansi haiwezi kuyaeleza kwa kuwa sayansi si msaafu wa majibu ya maswali yote...

Hivi kama Nyerere tu aliroga ili ninyi Watanganyika mpate uhuru, je hili lakushangaza vipi nililobainisha hapo juu?

Watu8, we unaheshimika humu jamvini, are you that much superstitious! Mhhh, preserve your dignity. In this century of science and technology we have scientific answers to all worldly phenomena! If not answers, we have some plausible hypotheses to try to explain those phenomena!
 
.. If not answers, we have some plausible hypotheses to try to explain those phenomena!

Mkuu, tusaidie hizo ''plausible hypotheses'' zinazo try kuexplain hizi ajari almost kila siku iitwayo leo tangu mwaka huu uanze. Apparently I am almost becoming superstitious as well!
 
Hivi barabara ya mombo - lushoto kwa lori lenye trailer linaweza kupita?
Maana barabara hiyo ni nyembamba na ina kona nyingi sana!
 
Umeharibu, argument yako ni nzuri lakini umeweka na matusi....(ubwege..), this make an ad hominen argument and lacks philosophical intellect!

Kumbe ni tusi mkuu? Najua ni miongoni mwa maneno makali tu ndo maana hata mods hawajaifuta comment yangu.

Hata hivyo ngoja niihariri.
 
Serikali isipokuja na mkakati madhubuti watu wataogopa kutumia mabasi kusafiria
 
Hivi barabara ya mombo - lushoto kwa lori lenye trailer linaweza kupita?
Maana barabara hiyo ni nyembamba na ina kona nyingi sana!

Na mimi nimejiuliza hilo swali maana ile barabara mnh hadi wengine tunaogopa kwenda kwetu
 
unnamed%2B(9).jpg

Abiria zaidi ya 50 wamenusurika leo bada ya basi walilokuwa wakisafiria liitwalo Burudani kugongana uso kwa uso na Lori la tenki la mafuta maeneo ya Soni mkoani Tanga. Mashuhuda wamesema hii ajali imetokea baada ya Lori la mafuta kukatika breki na kuvaana na basi hilo uso kwa uso. Habari zinasema hakuna maafa yaliyoripotiwa hadi sasa ila watu kadhaa wamepata majeraha na kukimbizwa hospitali.

Hii ni ajali ya pili ya basi la abiria kutokea leo, ikufuatiwa na ile ya asubuhi maeneo ya Msimba, Mikumi, jirani na milima ya Udzungwa ambapo imeripotiwa kwamba watu 18 wamepoteza maisha hapo hapo na wengine 10 kujeruhiwa baada ya lori aina ya Fuso kugongana uso kwa uso na basi la abiria na yote mawili kushika moto hapo hapo.


Chanzo: Michuzi

Mungu tunakuomba utuepushie ajali hizi katika Taifa letu...Amen
 
Mkuu, tusaidie hizo ''plausible hypotheses'' zinazo try kuexplain hizi ajari almost kila siku iitwayo leo tangu mwaka huu uanze. Apparently I am almost becoming superstitious as well!

We need research, detailed one, reasoned, and scientifically designed! We should not resort to supernatural powers for answers to our problems including road accidents!
 
Back
Top Bottom