Sijui tuwafanyeje madereva wa inji hii. Hili ni janga kubwa! Hata ukiwa Dar unaendesha gari, ukipunguza mwendo tu unapokaribia reli ili uangalie kabla ya kuvuka utasikia nyuma yako unapigiwa honi balaa, na pengine wataku-overtake kwa fujo! Nachotaka kusema hapa ni jinsi madereva wengi wasivyojali umakini wakati wa kuvuka reli.