Ajali!! Ajali!! Ajali!!

Mutakyamirwa

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
4,942
1,357
Kwa ujumla ajali zimekuwa nyingi na watanzania wengi wanaendelea kupoteza maisha. Viongozi wetu nahisi wamechoka sasa kutoa rambi rambi zao kwa wakuu wamikoa na familia husika ktk ajali hizo. Inavyoonekana jambo hili linakaribia kuonekana la kawaida kwa watanzania na serikali yao. Hivi hatuwezi kuona 'mtanzania mmoja hakifa kwa ajali ni wengi mno'! Kama sheria zipo ni kwanini hazitekelezi hili kuzuai ajali hizi; ni kwanini wantanzania hawana elimu ya kutosha kujilinda na kulinda maisha ya wenzio kiasi hiki! Ni nani hatusaidie kuondoa tatizo hili kama sio sisi wenyewe.

Natoa rai kwa viongozi wa nchi hii-hali hii haikubaliki, chukua hatua. Watangazieni/waelimisheni watanzania-kupitia redio, tv na simu na njia nyingine mjuazo (hata zile mnazotumia kulinda usalama wenu) kuwa ajali hizi sasa mwisho! Inawezekana (jifunzeni kwa wenzenu wanaoweza kusimamia sheria)-Rwanda is a good example.
 
Nchi imeoza kwa RUSHWA, mfano hii ajali ya Tabora waliofariki 17, majeruhi 76, ukijumlisha 93 bado ambao hawakujeruhiwa utagundua basi lilikuwa na zaidi ya abilia 100, wakati mabasi mengi uwezo wake ni abilia 66. Rushwa itatumaliza, katiba mpya walarushwa wanyongwe hadi kufa na sheria hiyo itekerezwe mara moja mtu anapohukumiwa, nadhani hii itakuwa tiba kwa ajali.
 
Nchi imeoza kwa RUSHWA, mfano hii ajali ya Tabora waliofariki 17, majeruhi 76, ukijumlisha 93 bado ambao hawakujeruhiwa utagundua basi lilikuwa na zaidi ya abilia 100, wakati mabasi mengi uwezo wake ni abilia 66. Rushwa itatumaliza, katiba mpya walarushwa wanyongwe hadi kufa na sheria hiyo itekerezwe mara moja mtu anapohukumiwa, nadhani hii itakuwa tiba kwa ajali.

Sasa wewe Hushangai kwa nini polisi wana Vitambi?
 
Mambo mengine kweli ni kukosekana kwa maadili na imani kwa wenye vyombo vya usafiri na polisi. Kwel inaingia akilini kwel kuona basi la abiria 65 linabeba 100??? Sheria inasemaje kwa polisi anayeruhusu basi la namna hiyo kupita ktk check point yake?? Hata hili tulaumu ukoloni???
 
Kwa ujumla ajali zimekuwa nyingi na watanzania wengi wanaendelea kupoteza maisha. Viongozi wetu nahisi wamechoka sasa kutoa rambi rambi zao kwa wakuu wamikoa na familia husika ktk ajali hizo. Inavyoonekana jambo hili linakaribia kuonekana la kawaida kwa watanzania na serikali yao. Hivi hatuwezi kuona 'mtanzania mmoja hakifa kwa ajali ni wengi mno'! Kama sheria zipo ni kwanini hazitekelezi hili kuzuai ajali hizi; ni kwanini wantanzania hawana elimu ya kutosha kujilinda na kulinda maisha ya wenzio kiasi hiki! Ni nani hatusaidie kuondoa tatizo hili kama sio sisi wenyewe.

Natoa rai kwa viongozi wa nchi hii-hali hii haikubaliki, chukua hatua. Watangazieni/waelimisheni watanzania-kupitia redio, tv na simu na njia nyingine mjuazo (hata zile mnazotumia kulinda usalama wenu) kuwa ajali hizi sasa mwisho! Inawezekana (jifunzeni kwa wenzenu wanaoweza kusimamia sheria)-Rwanda is a good example....................

Pamoja na mapungufu haya yote bado ni wazi kwamba Watanzania wengi hawana elimu ya kutosha kuweza kujikinga na ajali za kuepukika hasa vijana na watoto. Kwa kuanzia na hili vifo vingi ni vya kuepukika.
 
Back
Top Bottom