Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Kwa ujumla ajali zimekuwa nyingi na watanzania wengi wanaendelea kupoteza maisha. Viongozi wetu nahisi wamechoka sasa kutoa rambi rambi zao kwa wakuu wamikoa na familia husika ktk ajali hizo. Inavyoonekana jambo hili linakaribia kuonekana la kawaida kwa watanzania na serikali yao. Hivi hatuwezi kuona 'mtanzania mmoja hakifa kwa ajali ni wengi mno'! Kama sheria zipo ni kwanini hazitekelezi hili kuzuai ajali hizi; ni kwanini wantanzania hawana elimu ya kutosha kujilinda na kulinda maisha ya wenzio kiasi hiki! Ni nani hatusaidie kuondoa tatizo hili kama sio sisi wenyewe.
Natoa rai kwa viongozi wa nchi hii-hali hii haikubaliki, chukua hatua. Watangazieni/waelimisheni watanzania-kupitia redio, tv na simu na njia nyingine mjuazo (hata zile mnazotumia kulinda usalama wenu) kuwa ajali hizi sasa mwisho! Inawezekana (jifunzeni kwa wenzenu wanaoweza kusimamia sheria)-Rwanda is a good example.
Natoa rai kwa viongozi wa nchi hii-hali hii haikubaliki, chukua hatua. Watangazieni/waelimisheni watanzania-kupitia redio, tv na simu na njia nyingine mjuazo (hata zile mnazotumia kulinda usalama wenu) kuwa ajali hizi sasa mwisho! Inawezekana (jifunzeni kwa wenzenu wanaoweza kusimamia sheria)-Rwanda is a good example.