Hii ndo shida ya kuwa na viongozi DHAIFU na wasiopenda hata kutafuta ushauri!
Wamejidai kuandika kiswahili kumbe ndo wameleta viroja hapo kabisa... Yaani we acha tu; yaani hapo maaana yake hilo limejengwa na kumilikiwa na maiti....
Futa haraka ujinga huo nafuu uandike. "MORTUARY" au ukipenda kiswahili "Chumba cha kuhifadhia maiti":israel:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.