Aisee kuna wanaume wavivu

Anajiamini sana huyo mwamba... ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

Napenda niwe mkweli, mimi ni mwanachama wa kataa ndoa na sijaoa maana kila ninapokimbilia unaniwasha kombora!


Sijaoa na sioi! Ila mpaka nikulane na mwanamama nawaza sana na kupima risk ya magonjwa, nikiona hamna uwezekano nalowekeamo umo dushe langu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿพ
Haha kumbe wa kile chama eeh
Haya usiwe unafanya kabisa tulia hivyo hivyo maradh yapo
 
Waungwana salama,

Yani week nzima unajiandaa kula tunda na mwenza wako halafu anakuja anakupa kifo cha mende kimoja (style ya mvivu) chaliii amelala hadi asubuhi nguvu hana tena..... unahangaika weee kumuamsha ndo ashalegea hvyoo yani bao moja na kulala fofofo.

Naomba mnielewe yanii anapokojoa anahema vibaya na kuishiwa nguvu kabisa na usingizi juu kwa juu unambeba hadi ninamtikisa kuona kama bado uhai upo au ndo nimeua....

Hebu tafuteni mkongo muongeze hzo nguvu.

Wakoromaji na 30 seconds Nasubiri mawe yangu mnipopoe nimekaa paleee
Watukanaji mje na matusi mapya

Wengine hawawezi mishindo. Sisi wanaume tunakutana na wadada wanaweza kwenda masaa matatu show show, lakini kuna mdada mwingine akifika kileleni hawezi tena kuendelea.
 
Waungwana salama,

Yani week nzima unajiandaa kula tunda na mwenza wako halafu anakuja anakupa kifo cha mende kimoja (style ya mvivu) chaliii amelala hadi asubuhi nguvu hana tena..... unahangaika weee kumuamsha ndo ashalegea hvyoo yani bao moja na kulala fofofo.

Naomba mnielewe yanii anapokojoa anahema vibaya na kuishiwa nguvu kabisa na usingizi juu kwa juu unambeba hadi ninamtikisa kuona kama bado uhai upo au ndo nimeua....

Hebu tafuteni mkongo muongeze hzo nguvu.

Wakoromaji na 30 seconds Nasubiri mawe yangu mnipopoe nimekaa paleee
Watukanaji mje na matusi mapya
Utakuwa una bwawa au hana steam.

Na uwe makini asije akakufia kifuani.

Njoo inbobo tupange appointment.nikupe showshow hadi ukimbie usahau kufuli.
 
Waungwana salama,

Yani week nzima unajiandaa kula tunda na mwenza wako halafu anakuja anakupa kifo cha mende kimoja (style ya mvivu) chaliii amelala hadi asubuhi nguvu hana tena..... unahangaika weee kumuamsha ndo ashalegea hvyoo yani bao moja na kulala fofofo.

Naomba mnielewe yanii anapokojoa anahema vibaya na kuishiwa nguvu kabisa na usingizi juu kwa juu unambeba hadi ninamtikisa kuona kama bado uhai upo au ndo nimeua....

Hebu tafuteni mkongo muongeze hzo nguvu.

Wakoromaji na 30 seconds Nasubiri mawe yangu mnipopoe nimekaa paleee
Watukanaji mje na matusi mapya
Mkuu ndio umeamua ufungue Id ya ke ili uuze tule tu vicks twako twa magumashi twa kutokea kongo???
 
Back
Top Bottom