Aisee kumbe ni sahihi kulipwa kwa dowans

ACTUS!binafsi nilidhai unakuwa i sahihi kumlipa kutokana na hoja zako hapa ni wazi kuwa wewew unamteteaDOWANS regardless of legallity of paymen! Vipiumelipwa nini?
 
acheni ukenge kama dowans ni feki kwa nini mlitumia umeme wao. hakuna jinsi lazima tulipe tu. ni nataka walihusika na mkataba watajwe tuwacameron hadharani ili iwe fundisho.
 
Wadau nimepitia judgement ya dowans,aisee kumbe wanaharakati walio enda kuweka pingamizi pale High Court kupinga malipo yasifanyike sijui hawakusoma kwanza sheria inasemaje au basi tu walikua wanatest zali.na pia wanaposhinikiza tuandamane mmh hapa napo sijui wanataka nini.
kwa ufupi ni kua hata kama mkataba ulikua batili toka mwanzo wao wanaita nully and void(void abnitio)sheria za kimataifa ambazo ndo zilikua msingi wa mkataba INTERNATIONAL CHAMBER OF COMMERCE(ICC) kuna hizo RULES OF ICC on Arbitration zinautambua mkataba husika.
So the matter of being void abnitio does not hold water.

Article 6(4) of the same Rule inasema " Unless otherwise agreed,the Arbitral Tribunal Shall not cease to have jurisdiction by reasn of any claim that the contract is null and void or allegation that it is non existent that the Arbitral Tribunal upholds the validity of the arbitration agreement.The Arbitral Tribunal shall continue to have jurisdiction to determine the respective rights of the parties and to adjudicate their claims and pleas even though the contract itself may be non existent or null and void."

sasa basi kwa kifungu hicho hizo kelele za kua mkataba ni fek,oooh tuandamane ooh tupinge mmh hapo walishakubaliana kua watakua governed na the said rules,na Arbutral Tribunal itakua na mamlaka ya kuamua haki za mtu regadless mkataba ni feki.
sasa dowans si aliwapa umeme?na si mliutumia?jinsi gani alipata tenda ni immaterial apewe chake as much as amepeform.

angalizo.watanzania tuzidi kujifunza kutokana na makosa maana ndo usemi ulio wakaa kichwani.
Turudi kwenye hoja zetu za msingi tulizo zizoea za Kwa kumtizama chura kama chura je amesimama au amechuchumaa??
hizo ndo hoja zetu ambazo tunaziweza.

Jibuni swali la msingi ninyi magamba, je DOWANS ni ya nani? Details tell kwamba alipotafutwa kushtakiwa hakutaka utambulisho wake ueleweke!
 
Jibuni swali la msingi ninyi magamba, je DOWANS ni ya nani? Details tell kwamba alipotafutwa kushtakiwa hakutaka utambulisho wake ueleweke!

analipwa DOWANS as a company with legal entity.na aliyeshtakiwa ni DOWANS na mmiliki ni DOWANS na aliyeingia mkataba ni DOWANS mbona unakua MGUMU kuelewa.wakati wanafanya mkataba hakuja huyo "unayesema hakutaka utambulisho wake ueleweke"
kasome judgement ndo uje uelewe sio habari za hearsay.law and fact ndo zilizotumika kufikia maamuzi hayo.tatizo hilo swala lilikua politized sana but judge na arbitrator walikua viziwi ktk kutoa maamuzi
 
Tatizo la sisi Watanzania ni kuingiza siasa katika kila kitu bila kutafsiri tatizo.
Tatizo jingine ni kila mtu kutaka kuonekana mwana HARAKATI wakati uwezo wake wa kujua na kufikili ni mdogo
Ile ilikuwa hukumu iliyotolewa mahakamani. Sasa ruling ya mahakama inatenguliwa na mahakama ya juu kwa njia ya rufaa. Kinyume cha hapo ni siasa na uwanaharakati.
 
Unajua sisi Watanzania ni watu wa ajabu.Wakati DOWANS wanaipeleka TANESCO mahakamani Watanzania walikuwepo na hakuna aliyefuatilia court proceedings.
Kwa hili wanasheria wetu walikuwepo ,lakini hakuna mwanasheria hata mmoja aliyetoa angalizo kwa UMMA WA WATANZANIA kuhusiana na kesi waliyofungua Dowans na athari ambayo nchi itapata kama Dowans watashinda kesi.
Baada ya hukumu ya kesi ndipo mabingwa wa sheria na wazoefu wanajitokeza na kuishauri serikali isiilipe dowans na kawati huohuo wanaadivocate utawala wa sheria, kwa hilo huo utawala bora utatoka wapi wakati hukaki kuutambua mmoja wa mihili ya dola?
Uamuzi wa mahakama lazima uheshimike na utenguliwe wa mahakamu ya juu iliyobaki kufikiwa, vinginevyo tunafanya siasa kwenye sheria.
 
Hoja ni kulipa Dowans na sio kujua nani mmiliki, na pia kujua mmiliki wa Dowans hata msiumie kichwa, kampuni huwa zina Memorandum of association ambayo ni public document kila mtu ana access nayo nayo memorandum inataja nani kaanzisha kampuni na ana shares kiasi gani, na adress za walioianzisha. Mungu ibariki Tanzania.

Sawa kabisa. Si hilo tu. Wote tuna uchungu wa pesa hizo, lakini kama tunataka kweli waliosababisha adhabu ya malipo haya ndio walipe, hilo litaamuliwa kisheria, na tayari ICC na mahakama kuu wamekwishasema kuwa mitaba yote miwili, wa Richmond na Dowans, ilikuwa halali. Adhabu haikutokana na kuingia mikataba (mizuri au mibovu) bali kukatisha mkataba halali uliokuwa na 'performance ya 100%'. Atalipa aliyekatisha na aliyeshinikiza kukatisha.
 
Back
Top Bottom