father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 835
- 642
Father mim sio mlokole....lakini nayajua kidogo maandiko ya biblia...........iliandikwa nyakati za mwisho....wengi watakuja kwa jina langu.......pia ikaandikwa manabii wa uongo mtawatambua kwa matendo yao.............!
Huyu dada nilivyokua namchukulia imebadilika kabisa baada ya kuona hii clip...........natamani nisingeiona........!Mwenye macho atajionea..........sisemi mengi.........!
Huyu dada nilivyokua namchukulia imebadilika kabisa baada ya kuona hii clip...........natamani nisingeiona........!Mwenye macho atajionea..........sisemi mengi.........!
Last edited by a moderator: