Airtel na TANESCO customer care ni hovyo ajabu

Nyenyere

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
14,770
10,650
Wakuu, Jana nilipatwa na mkwamo wa kununua umeme ambapo nilikuwa napokea ujumbe huu:

Unahitaji kupata Key Change. Wasiliana na TANESCO kwa 0768985100. Key Change Tokens are due. Please call 0768985100 or visit any nearby TANESCO office (038).

Niliamua kupiga namba huyo hapo juu, ikaniacha na kilio. Nikapiga ikapokelewa na mhudumu, wakati tukitambulishana simu ikakata. Nikajua kubwa nitahitaji kuwa na salio kwenye simu na si kifurushi. Nikaweka shilingi 1000, nikapiga tena. Mara hizi tukafikia sehemu ya mhudumu kuniomba mita namba. Nilipomaliza kutaja tu, ikakata salio limeisha. Sikuamini, nikaweka vocha ya 1000 tena. Nikapiga, nikaishia kutaja mita namba, salio likaisha! Sikuendelea tena. Jamani, huyo so wizi wa mchana kweupe?

Wakati nahangaika kununua umeme kwa airtel money, kuna pesa ilikatwa. Najaribu kuwapigia airtel money kwa namba 100, hakuna option ya kuongea na mhudumu. Hii ni mbaya sana na ni njia ya kuwakatisha tamaa wateja wasitafute huduma. Je, wewe una experience gani na hii mitandao?
 
mkuu hiyo number inaonekana ni ya voda so wanacharge hela on-demand ingekuwa vema kama ungeweka kifurushi au ungepiga kwa number ya voda
 
Wakuu, Jana nilipatwa na mkwamo wa kununua umeme ambapo nilikuwa napokea ujumbe huu:

Unahitaji kupata Key Change. Wasiliana na TANESCO kwa 0768985100. Key Change Tokens are due. Please call 0768985100 or visit any nearby TANESCO office (038).

Niliamua kupiga namba huyo hapo juu, ikaniacha na kilio. Nikapiga ikapokelewa na mhudumu, wakati tukitambulishana simu ikakata. Nikajua kubwa nitahitaji kuwa na salio kwenye simu na si kifurushi. Nikaweka shilingi 1000, nikapiga tena. Mara hizi tukafikia sehemu ya mhudumu kuniomba mita namba. Nilipomaliza kutaja tu, ikakata salio limeisha. Sikuamini, nikaweka vocha ya 1000 tena. Nikapiga, nikaishia kutaja mita namba, salio likaisha! Sikuendelea tena. Jamani, huyo so wizi wa mchana kweupe?

Wakati nahangaika kununua umeme kwa airtel money, kuna pesa ilikatwa. Najaribu kuwapigia airtel money kwa namba 100, hakuna option ya kuongea na mhudumu. Hii ni mbaya sana na ni njia ya kuwakatisha tamaa wateja wasitafute huduma. Je, wewe una experience gani na hii mitandao?

Mkuu , nilipata tatizo hilo hilo, suluhisho ni kwenda kununua Umeme toka kwa Vendors wa Tanesco , utapewa Namba nyingine 2 ambazo utaweka kwanza kabla kuingiza hiyo Tokens ,

sasa hapo utakuwa uhemishwa rasmi kwenye Tarrif yako , tegemea kupata Tokens chache sana ,
 
Wakuu, Jana nilipatwa na mkwamo wa kununua umeme ambapo nilikuwa napokea ujumbe huu:

Unahitaji kupata Key Change. Wasiliana na TANESCO kwa 0768985100. Key Change Tokens are due. Please call 0768985100 or visit any nearby TANESCO office (038).

Niliamua kupiga namba huyo hapo juu, ikaniacha na kilio. Nikapiga ikapokelewa na mhudumu, wakati tukitambulishana simu ikakata. Nikajua kubwa nitahitaji kuwa na salio kwenye simu na si kifurushi. Nikaweka shilingi 1000, nikapiga tena. Mara hizi tukafikia sehemu ya mhudumu kuniomba mita namba. Nilipomaliza kutaja tu, ikakata salio limeisha. Sikuamini, nikaweka vocha ya 1000 tena. Nikapiga, nikaishia kutaja mita namba, salio likaisha! Sikuendelea tena. Jamani, huyo so wizi wa mchana kweupe?

Wakati nahangaika kununua umeme kwa airtel money, kuna pesa ilikatwa. Najaribu kuwapigia airtel money kwa namba 100, hakuna option ya kuongea na mhudumu. Hii ni mbaya sana na ni njia ya kuwakatisha tamaa wateja wasitafute huduma. Je, wewe una experience gani na hii mitandao?
Hakuna wezi wa mchana na majangili kama kampuni za simu! Tatizo viongozi wetu wamewekeza humo hivyo wanafumbia macho sisi tunavyonyongwa! Kwa vile wao ilo haliwahusu!
 
Mimi nililipia maji kupitia AIRTEL money, pesa haikulipwa, matokeo nikakatiwa maji, ikabidi nilipe kupitia dirishani pamoja na faini ya re connection. Nimejaribu kila hali nirejeshewe fedha zangu nimeambulia patupu, sijui nifanyaje. Kama kuna maelekezo naomba ili nipate haki yangu
 
Back
Top Bottom