Airlines furious over airport incident in Dar es Salaam

Wakuu tuwe makini na huyu muandishi,ukijaribu kufuatilia makala zake ni mtu wa ku-smear tourism industry ya tanzania na ni mpinga maendeleo.tizama hapo juu kuhusu stieglers gorge,stone town na serengeti.kuhusu dharura ya uwanja wa ndege,watu kutopewa maelezo ya kutosha na usumbufu mwingine sio jambo geni duniani tujikumbushe wakati wa christmas viwanja kadhaa vya ndege ,station za treni huko ulaya zilifungwa na usumbufu uliotokea ni almost similar na huo anaosema.simuelewi kwa nini anaulizia kambi ya kijeshi na yenye mabomu kuwepo karibu na airport?mimi nisiye na ujuzi wa vita naona airport na bandarini ni maeneo muhimu ya kulinda wakati wa vita.
Mwisho nakubali kuna uzembe uliopelekea milipuko na wahusika wawajibishwe lakini hii isiwe sababu ya WAPUUZI kutoka nchi jirani kuingilia mambo yetu.
Stupid Wolfgang!!

...Anachanga mambo ya chuki binafsi, incorrect info na facts.
 
Resigning? No, who will remain? There are blunders every where in this Government. I have come to the conclusion that we are forcing these guys to stay in power-they are actually tired and exhausted. It is us to blame for voting them in every election!

Who vote for them? Did You? Dr!!!!
 
Ndugu Jackbauer, kumbuka toka mwanzo nilipoanza kuchangia mada zinazohusu swala ya milipuko ya mabomu uliolikumba taifa hivi karibuni nilitahadharisha wachangiaji kutoingiza itikadi za vyama vya siasa kwenye janga hili nikimaanisha kuwa unaweza kuona unaitukana serikali ya JK ilihali unagusa usalama wa nchi ambao hata akiingia raisi mtu anayemtaka ulinzi lazima utazingatiwa lakini ukishamnufaisha adui yeye harudi nyuma. Wengi hawakunielewa nlichokuwa na maanisha sasa naona yameanza kujitokeza wazi na nashukuru mwenzangu umeliona na kumshutumu mtoa mada.


Kwanza anasema airlines wanahasira wakati haoneshi mfano wa airline. Namshauri akagoogle International Air Transport Agency (IATA) au mitandao ya galileo na galilee system aone kama kuna comment yoyote kuhusu lilotokea. Kama ni ndege kusimamisha shughuli zake kwa muda mi naona ni jambo la kuwapongeza waongoza ndege maana wao ndiyo wangepaswa kukimbia wa kwanza kutoka kwenye minara (control chamber) lakini walifanya jitihada na hamna ndege yoyte iliyoripotiwa kupata madhara pia ndege zote zilizopangwa kutua DAR zilipata taarifa kwa haraka ili kuepusha madhara kwa ndege zinazotoa na kuruka toka uwanja husika. Namshauri akaangalie roster ya safari za ndege za siku hiyo hasa kwa muda ule ndiyo aje aongee maswala yake hapa na unaweza ukakuta ni mtanzania mwenzetu lakini bila aibu anaongea matatizo hapa. Mfano mdogo tu, muda ule ndege zilipangwa kutua ni KLM, KQ zilizokuwa ziruke ni KLM saa tano usiku, Swiss Air saa nne usiku. Pia akumbuke usumbufu mkubwa uliotokea wakati vumbi la volcano lilipoikumba ulaya ambako usumbufu uliojitokeza ni mara mia ya hiyo ya kwetu pia usumbufu uliokumba nchi zenye baridi kali wakati wa Christmas rafikiangu alilala Atlanta Airport siku tatu. pia ajiulize ni mara ngapi ndege zinakatiza safari kwa technical reasons wakati mwingine abiria ni wachache wanadanganya ni technical problem?

Jamaa anauliza Where in the world does an army store a lot of bombs, rockets, mines, and ammunition so close to the main international airport and not ensure total safety. Who told him/her that the army store a lot of bombs, rockets, mines and ammunition at that particular barracks? Did this person investigate all airports in the world to find how nations keep their military weapons? Mwenzangu umeshamweleza kuwa sehemu muhimu katika nchi ni airports, bandari, redio na TV ya nchi na mipakani ni lazima majeshi yetu strategically and scientifically wawepo na sio politics.
 
Sasa mkumbo kwenye mada hii na swala la serikali yanahusiana vipi? Naombea sana hao unaowashauri waingie madarakani tuone kama hakutakua na majanga.

Ila wewe ni msomi mkubwa je mada husika unainaje kabla ya kuja kwenye maswala ya nani kachaguliwa na hakuchaguliwa maana mimi nitakuambia hakuchauliwa ila walijichagua na hutakua na cha kusema.
 
Huyu jamaa sidhani kama alifanya uchunguzi hiyo kambi iliyolipuka si Mbagala bali ni Gongo la Mboto! na mbona inaonekana kama muhusika yuko so emotional with temper flaring? btw sioni a direct link ya Tourism activities na devastating effects kutokana na mlipuko huo ulisababisha airport ya Dar kufungwa kwa masaa kadhaa! Huku tuna airports za Zanzibar na Kilimanjaro zikiendelea kutumika ku-serve tourists! Tatizo hapa lipo kwenye watu waliopoteza maisha na waliojeruhiwa, na pia waliopoteza makazi yao! Nathani kuna umuhimu Journalists kujifunza skills za uandishi! naskia huyu jamaa yuko Uganda! na naskia ana interest kwenye tourism na biashara zake ziliwekewa kizingiti Tanzania sasa toka hapo ni smear attacks tu!

Naona link kubwa tu na utalii. Binafsi nimeshuhudia hii milipuko inaripotiwa negatively sana huku. Kwenda mahali kutalii ni uchanguzi tu, na kuna sehemu nyingi tu duniani za kwenda. Nani atachagua kwenda/kutua kwenye airport iliyozungukwa na base yenye mabomu yanayoweza kulipuka wakati wowote? Hata Baghdad au Kabul mabomu hayawekwi karibu na airport/ na makazi wa watu kama TZ. Hata hiyo planned highway across the Serengeti’s migration routes binafsi nimeshangaa kumbe ni issue kubwa kwa watu wengi (isipokuwa WaTZ) ... Kuna watu wengi na wanaharakati sehemu nyingi duniani wamelishikilia bango na inasikika sana kwenye media zao. Zaidi ya hapo muandishi anaelezea temper & emotions za wasafiri kutokana na lack of information. Ukweli ni ukweli tu
 
Tukubali kukosolewa na kuwa waungwana. Kurusha matusi kwa aliyekukosoa kunaashiria kuwa bado hupendi kukosolewa. Ukweli wa mambo ni kuwa kuna mambo mengi tu ambayo yanavurundwa nchini mwetu.

nakubaliana na wewe mambo mengi ya nchi hii yanaenda vibaya na kukosolewa kwa watendaji na viongozi ni jambo lenye afya.lakini huyu mzee wa kizungu hana nia njema na Tanzania huwezi mfananisha na kubenea!
 
Volcano na barafu ni mabadiliko ya hali ya hewa hakuna wa ku control lakini mabomu wapo wanaotakiwa ku take care, kusema mabomu mengi kuhifadhiwa karibu na airport vyombo vyetu vya habali vimekuwa vikisema iliyolipuka ni ghala kuu la silaha nafikiri jamaa hajakosea ki hiivyo.

Unaposema utalii haujaathirika unatakiwa kujua watalii wanakwenda na information hawawezi kwenda Misri this time kwa kuwa hakuna amani so usijipe moyo na zenji ndege nyingi kuba hazitui Zanzibar nyingi zituazo huko ni za watalii matajiri za kukodi lakini watalii kama mimi wengi hufikia dar ndo wanakwenda zenji so tusibweteke na kujiona tupo salama wakati kuna wazembe wachache wanasababisha haya.

Nini kilikuwepo kwenye ripoti ya tume ya mbagala? Nini kiliamuriwa baada ya tume kutoa ripoti? nini kilitekelezwa if any katika ushauri uliopo kwenye ripoti? haya ndo maswali inatakiwa tujiulize, maana majibu mengi katika hayo utaishia na uzembe wa wachache wanaokalia au kuweka ripoti kapuni siamani kama ripoti ilishauri ujinga.
 
Naona link kubwa tu na utalii. Binafsi nimeshuhudia hii milipuko inaripotiwa negatively sana huku. Kwenda mahali kutalii ni uchanguzi tu, na kuna sehemu nyingi tu duniani za kwenda. Nani atachagua kwenda/kutua kwenye airport iliyozungukwa na base yenye mabomu yanayoweza kulipuka wakati wowote? Hata Baghdad au Kabul mabomu hayawekwi karibu na airport/ na makazi wa watu kama TZ. Hata hiyo planned highway across the Serengeti's migration routes binafsi nimeshangaa kumbe ni issue kubwa kwa watu wengi (isipokuwa WaTZ) ... Kuna watu wengi na wanaharakati sehemu nyingi duniani wamelishikilia bango na inasikika sana kwenye media zao. Zaidi ya hapo muandishi anaelezea temper & emotions za wasafiri kutokana na lack of information. Ukweli ni ukweli tu
jamani tusikuze mambo mathara yaliyotokea kiutalii si makubwa namna hiyo kama yaliyowapata wananchi wa Gongo la Mboto, airport ilifungwa masaa nane na ndege kuwa reloctaed to KIA! tuangalie at the bigger picture some article are too negative and exaggerating facts! Sioni sababu ya ku-link Serengeti Highway and Stigler Gorge na yaliyotokea Gongo la Mboto! Stigler and Serengeti are ecological issues na Gongo la Mboto ni explosives blast! angekuwa basi anatoa coverage ya events in Uganda (e.g. just ended election violence na effect on tourism) the same way tuone kama Museveni asinge-deal nae!
 
Ndugu Jackbauer, kumbuka toka mwanzo nilipoanza kuchangia mada zinazohusu swala ya milipuko ya mabomu uliolikumba taifa hivi karibuni nilitahadharisha wachangiaji kutoingiza itikadi za vyama vya siasa kwenye janga hili nikimaanisha kuwa unaweza kuona unaitukana serikali ya JK ilihali unagusa usalama wa nchi ambao hata akiingia raisi mtu anayemtaka ulinzi lazima utazingatiwa lakini ukishamnufaisha adui yeye harudi nyuma. Wengi hawakunielewa nlichokuwa na maanisha sasa naona yameanza kujitokeza wazi na nashukuru mwenzangu umeliona na kumshutumu mtoa mada.


Kwanza anasema airlines wanahasira wakati haoneshi mfano wa airline. Namshauri akagoogle International Air Transport Agency (IATA) au mitandao ya galileo na galilee system aone kama kuna comment yoyote kuhusu lilotokea. Kama ni ndege kusimamisha shughuli zake kwa muda mi naona ni jambo la kuwapongeza waongoza ndege maana wao ndiyo wangepaswa kukimbia wa kwanza kutoka kwenye minara (control chamber) lakini walifanya jitihada na hamna ndege yoyte iliyoripotiwa kupata madhara pia ndege zote zilizopangwa kutua DAR zilipata taarifa kwa haraka ili kuepusha madhara kwa ndege zinazotoa na kuruka toka uwanja husika. Namshauri akaangalie roster ya safari za ndege za siku hiyo hasa kwa muda ule ndiyo aje aongee maswala yake hapa na unaweza ukakuta ni mtanzania mwenzetu lakini bila aibu anaongea matatizo hapa. Mfano mdogo tu, muda ule ndege zilipangwa kutua ni KLM, KQ zilizokuwa ziruke ni KLM saa tano usiku, Swiss Air saa nne usiku. Pia akumbuke usumbufu mkubwa uliotokea wakati vumbi la volcano lilipoikumba ulaya ambako usumbufu uliojitokeza ni mara mia ya hiyo ya kwetu pia usumbufu uliokumba nchi zenye baridi kali wakati wa Christmas rafikiangu alilala Atlanta Airport siku tatu. pia ajiulize ni mara ngapi ndege zinakatiza safari kwa technical reasons wakati mwingine abiria ni wachache wanadanganya ni technical problem?

Jamaa anauliza Where in the world does an army store a lot of bombs, rockets, mines, and ammunition so close to the main international airport and not ensure total safety. Who told him/her that the army store a lot of bombs, rockets, mines and ammunition at that particular barracks? Did this person investigate all airports in the world to find how nations keep their military weapons? Mwenzangu umeshamweleza kuwa sehemu muhimu katika nchi ni airports, bandari, redio na TV ya nchi na mipakani ni lazima majeshi yetu strategically and scientifically wawepo na sio politics.

mkuu mimi sipendezwi na mwenendo wa serikali yetu lakini waandishi wanafiki kama hili zee la kizungu siwakubali kabisa,ana interests zake binafsi na anajaribu kutumia tukio hili kuendeleza chuki zake dhidi ya miradi ya maendeleo inayotaka kufanywa na Tanzania.
I HATE WOLFGANG!
 
Kusimamisha safari za ndege kwenye Viwanja vya ndege ni jambo la kawaida. Ulaya nao wanasimamisha sana.

Kuweka ulinzi maeneo ya uwanja wa ndege ni jambo la kawaida sana. Duniani ni jambo la kawaida kuwa viwanja vikubwa vina pia kikambi cha jeshi pembeni na unakuta hata ndege za kivita wanaziweka hapo na ikibidi, zinatumia njia ya kuruka na kupaa palepale Airport. Sidhani kama hizi kambi na hizo ndege huwa zinakuwa tupu, bila ya kuwa na silaha.

Kuna Airport nilishaona, zipo silaha nyingi tu na kambi kubwa saaana ya jeshi. Hata Silaha za Gongo la Mboto, wengine wanadai zilikuwepo hapo kwa ajili ya kulinda Airport yetu. Sijui hii ina ukweli gani maana kama ni kweli, mhhh.... naogopa kusema.

Tatizo siyo kuwa na hizo silaha karibu na Airport..... Kwangu mie, tatizo ni jinsi ya kuzitunza. Hivi walishindwa kwenda km kadhaa mbele karibu na Pugu na kuchimba chini ya Mlima handaki kubwa na juu kufukia na kupanda nyasi, miti nk ili kupunguza joto? Hata yakilipuka, itabidi kwanza yavunje Zege ya hilo Handaki na mwisho yatimue udongo uliopo juu yake kama siyo kimlima. Ungeliweka kukuta kuwa Effect yake isingelikuwa kubwa sana kama tuliyoiona.

Wanakimbilia kulipana hela bungeni tu. Safari za nje na kununua mashangingi kwao hilo siyo tatizo. Akina Shimbo wanakaa kupanga wafisadi vipi na wao. Halafu mtu anasema hili siyo jambo la KISIASA....... Ila wakati Shimbo anakuja na kubwabwaja kabla ya uchaguzi, huo ndiyo ulikuwa wajibu wake.

Wanajeshi/Polisi/Mahakama/Usalama wa Taifa wanasaidia au kuruhusu nchi iongozwe KISIASA hata katika vyombo vyao. Hawa watu na wao wamekuwa Mafisadi na Wanasiasa kabisa. Sasa kama mambo yakienda ovyo, kwa nini wasibebeshwe lawama wao na Wanasiasa? Siku Kikwete anatishia kupiga wafanyakazi ngeo, pembeni walikuwepo Maboss wa Usalama na wakawa Wanakenua tu meno. Kuna uhusiano gani kati ya Migomo ya Wafanyakazi na Mwamunyange kama Boss wa JWTZ?
 
Wakuu tuwe makini na huyu muandishi,ukijaribu kufuatilia makala zake ni mtu wa ku-smear tourism industry ya tanzania na ni mpinga maendeleo.tizama hapo juu kuhusu stieglers gorge,stone town na serengeti.kuhusu dharura ya uwanja wa ndege,watu kutopewa maelezo ya kutosha na usumbufu mwingine sio jambo geni duniani tujikumbushe wakati wa christmas viwanja kadhaa vya ndege ,station za treni huko ulaya zilifungwa na usumbufu uliotokea ni almost similar na huo anaosema.simuelewi kwa nini anaulizia kambi ya kijeshi na yenye mabomu kuwepo karibu na airport?mimi nisiye na ujuzi wa vita naona airport na bandarini ni maeneo muhimu ya kulinda wakati wa vita.
Mwisho nakubali kuna uzembe uliopelekea milipuko na wahusika wawajibishwe lakini hii isiwe sababu ya WAPUUZI kutoka nchi jirani kuingilia mambo yetu.
Stupid Wolfgang!!

Asante ya ukweli
 
Jamaa anauliza Where in the world does an army store a lot of bombs, rockets, mines, and ammunition so close to the main international airport and not ensure total safety. .

Jibu mbona very simple? TANZANIA.

Even worse kuna wanaosema si ajabu mbona hata Msumbiji imetokea, mbona hata Serbia imetokea? Yaani wanajustfy tukio.
 
Back
Top Bottom