Chumbageni
Member
- Oct 27, 2010
- 94
- 23
Unaweza kubahatika kama upo hapoHivi kwenye ndege huwezi kuomba lifti
Ukiangalia picha vizur engine attachment bado hajakamilika maana bado engine haijawa attached. Ila iko kwenye hatua za mwisho za ku attach engine.Ndege yetu aina ya Boeing 787-8 imemaliza hatua zote muhimu za uunganishwaji wa vifaa vya ndani kwa mafanikio makubwa. Zoezi hilo lililoanza 4/5/2018 na kumalizika 21/05/2018 linatoa picha ya ndege hii kuweza kuwa delivered kabla hata ya tarehe tajwa (9/7/2018).
duh we jamaa inabidi airtanzania waku ajiri tu ukawe fundi maana umetoa detail utazani unafanya kazi Boeing..hongeraNdege yetu aina ya Boeing 787-8 imemaliza hatua zote muhimu za uunganishwaji wa vifaa vya ndani kwa mafanikio makubwa. Zoezi hilo lililoanza 4/5/2018 na kumalizika 21/05/2018 linatoa picha ya ndege hii kuweza kuwa delivered kabla hata ya tarehe tajwa (9/7/2018).
Kwa mafanikio makubwa? CCM Mnapenda sana haka kaneno hata mahali ambapo hapastahili kutumika.Ndege yetu aina ya Boeing 787-8 imemaliza hatua zote muhimu za uunganishwaji wa vifaa vya ndani kwa mafanikio makubwa. Zoezi hilo lililoanza 4/5/2018 na kumalizika 21/05/2018 linatoa picha ya ndege hii kuweza kuwa delivered kabla hata ya tarehe tajwa (9/7/2018).
Hivi kwenye ndege huwezi kuomba lifti
Hivi kwenye ndege huwezi kuomba lifti
Hivi kwenye ndege huwezi kuomba lifti