Fakyuol Senior Member Nov 26, 2023 142 311 Jan 20, 2024 #1 Dadaz, hebu leo tumalize huu mjadala! Eti, wewe kama wewe unavutiwa na mwanaume mwenye sifa zipi? Kati ya hizi: 1) Mwembamba, mweusi, na mrefu 2) Mnene, mfupi (kiasi), na mweupe Kwanini?
Dadaz, hebu leo tumalize huu mjadala! Eti, wewe kama wewe unavutiwa na mwanaume mwenye sifa zipi? Kati ya hizi: 1) Mwembamba, mweusi, na mrefu 2) Mnene, mfupi (kiasi), na mweupe Kwanini?
financial services JF-Expert Member May 17, 2017 17,144 40,723 Jan 21, 2024 #3 Mwenye sauti kama ya Jaiva😀
babu gojo Member Jun 10, 2015 92 89 Jan 26, 2024 #6 financial services said: Mwenye sauti kama ya Jaiva😀 Click to expand... 😂😂😂😂