Aina hii ya mabinti ni ngumu sana kuolewa

mwehu ndama

JF-Expert Member
Nov 12, 2019
544
1,877
Hizi ndio aina za wadada ambazo ni ngumu sana kuolewa, huwa wanachezewa tu na wahuni ,kisha wahuni wanaenda kuoa chombo safi mikoani.

Na wengi wao ni single mothers. Na ukiwaoa jua umeyakanyaga in short umejitafutia kukwama.

Wadada wanaovuta shisha.
Wadada wanaovaa vikuku miguuni.
Wadada wenye heleni puani hadi kitovuni.
Wadada wanaoweka nywele blichi.
Wadada omba omba /Kausha Damu.
Wadada wanaofanya sex workers /FSW kwenye madanguro.
Wadada wenye Tattoo.
Wadada walevi kupita kiasi.
Wadada wanaopenda kwenda clubs.

Nyingine ila sio kwa umuhimu wale mabinti waliojivika majukumu ya familia yao nzima na kutaka kuonekana wakombozi wa ukoo mwisho wa siku msela unalundikiwa zigo la majukumu na stress za kujitakia ili kuiweka familia ya binti sawa.
 
Nakuunga mkono kwa wenye hizi sifa tatu ni tatizo.. kweli kweli

-Wadada wanaovuta shisha
-Wadada wanaofanya sex workers /FSW kwenye madanguro
-Wadada walevi kupita kiasi
Hizi ndio aina za wadada ambazo ni ngumu sana kuolewa, huwa wanachezewa tu na wahuni ,kisha wahuni wanaenda kuoa chombo safi mikoani.

Na wengi wao ni single mothers. Na ukiwaoa jua umeyakanyaga in short umejitafutia kukwama.

Wadada wanaovuta shisha.
Wadada wanaovaa vikuku miguuni.
Wadada wenye heleni puani hadi kitovuni.
Wadada wanaoweka nywele blichi.
Wadada omba omba /Kausha Damu.
Wadada wanaofanya sex workers /FSW kwenye madanguro.
Wadada wenye Tattoo.
Wadada walevi kupita kiasi.
Wadada wanaopenda kwenda clubs.

Nyingine ila sio kwa umuhimu wale mabinti waliojivika majukumu ya familia yao nzima na kutaka kuonekana wakombozi wa ukoo mwisho wa siku msela unalundikiwa zigo la majukumu na stress za kujitakia ili kuiweka familia ya binti sawa.
 
Hizi ndio aina za wadada ambazo ni ngumu sana kuolewa, huwa wanachezewa tu na wahuni ,kisha wahuni wanaenda kuoa chombo safi mikoani.

Na wengi wao ni single mothers. Na ukiwaoa jua umeyakanyaga in short umejitafutia kukwama.

Wadada wanaovuta shisha.
Wadada wanaovaa vikuku miguuni.
Wadada wenye heleni puani hadi kitovuni.
Wadada wanaoweka nywele blichi.
Wadada omba omba /Kausha Damu.
Wadada wanaofanya sex workers /FSW kwenye madanguro.
Wadada wenye Tattoo.
Wadada walevi kupita kiasi.
Wadada wanaopenda kwenda clubs.

Nyingine ila sio kwa umuhimu wale mabinti waliojivika majukumu ya familia yao nzima na kutaka kuonekana wakombozi wa ukoo mwisho wa siku msela unalundikiwa zigo la majukumu na stress za kujitakia ili kuiweka familia ya binti sawa.
Dpw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom