Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Tunapo ongelea neno AIBU ndiyo pia ina maana ya HAYA ?
> Ningekwambia lakini nakuonea HAYA.
> Ningekwambia lakini nakuonea AIBU.
Semi hizo mbili ni kitu kilekile ? Au kuna tofauti ?.
> Muangalia vile umekaa na AIBU za kikekike.
> Hembu ongea acha HAYA kama mwanamke.
Vinginevyo katika jinsia zetu, Mwanamke amekua anahusika kwa kiasi kikubwa cha AIBUAIBU na HAYA kuliko mwanaume. Ni kitu kimezoeleka ukikuta She na He wamesimama wanaongea She hamudu kumkabili mwanaume kumuangalia uso kwa uso jua hapo kuna tongozo linaloendelea.
Unaweza kua na uhusiano wa kawaida na mwanamke na asiwe na Aibuaibu, ghafla mwanaume akiamua kubadili mahusiano yale kutoka kawaida kua ya penzi, basi hapohapo mwanamke huvaa taswira ya Aibu.
Dhamira yangu hasa hapa ninaomba taarifa za Kisayansi hii kitu aibu kwa nini iwe kwa wanawake zaidi kuliko wanaume ? Kitengo ama kichocheo kinacho'pruduce AIBU na HAYA vilivyoko katika Brain vina utofauti kati ya Mwanamke na Mwanamme ?
> Ningekwambia lakini nakuonea HAYA.
> Ningekwambia lakini nakuonea AIBU.
Semi hizo mbili ni kitu kilekile ? Au kuna tofauti ?.
> Muangalia vile umekaa na AIBU za kikekike.
> Hembu ongea acha HAYA kama mwanamke.
Vinginevyo katika jinsia zetu, Mwanamke amekua anahusika kwa kiasi kikubwa cha AIBUAIBU na HAYA kuliko mwanaume. Ni kitu kimezoeleka ukikuta She na He wamesimama wanaongea She hamudu kumkabili mwanaume kumuangalia uso kwa uso jua hapo kuna tongozo linaloendelea.
Unaweza kua na uhusiano wa kawaida na mwanamke na asiwe na Aibuaibu, ghafla mwanaume akiamua kubadili mahusiano yale kutoka kawaida kua ya penzi, basi hapohapo mwanamke huvaa taswira ya Aibu.
Dhamira yangu hasa hapa ninaomba taarifa za Kisayansi hii kitu aibu kwa nini iwe kwa wanawake zaidi kuliko wanaume ? Kitengo ama kichocheo kinacho'pruduce AIBU na HAYA vilivyoko katika Brain vina utofauti kati ya Mwanamke na Mwanamme ?