Usimjadili mtu jadili yaliyoandikwa, usiwe retard kama mkuluKatika hali ya kawaida haiingii akilini kuona Mods wanaiacha hii thread iliyojaa uchochezi na kutengeneza chuki kwa watanzania dhidi ya Kiongozi mkuu wa nchi. Huyu anayejiita RICHARD BRUNWICK hajawahi hata kufanya kazi nchini Tanzania katika ofisi za UNDP. Hilo mimi nimelithibitisha. Haya anayoyaandika sijui kayatoa wapi na ninapata kufikiri kuwa anatumika pengine na baadhi ya watu (watanzania) wenye chuki na utawala wa JK. Ondoeni bana.