Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
- Thread starter
- #21
Huyu askari na kitambi chake cha Maharage yaelekea mkewe heshi kulamba vibao kila uchao.
Hivi akimkamata huyu mama ataishia Kumchapa ufimbo tu au ataongea na ukuni juu?
Polisi wetu na vituo vya polisi wana vijambo kila siku,
Afande inaonekana kadhamiria kweli?
Mama malapa mkononi tayari kwa marathoni. Silaha yake kubwa hapo ni wepesi wa miguu yake tu.
Hii picha imenikumbusha ili Movie kabambe ya SARAFINA. Tena huyo mdada anafanana naye kweli!
Kwa hiyo huyu bwana yote hiyo ni danganya toto ana lake jambo.