Lloyd Munroe
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 7,448
- 19,769
😂Nyege Zina short circuit pattern ya kutikiri unajikuta umefanya Mambo ya ajabu Sana.Ndo alawiti watoto?
Aende akaokote sabuni apate akili😂
😂Nyege Zina short circuit pattern ya kutikiri unajikuta umefanya Mambo ya ajabu Sana.Ndo alawiti watoto?
Aende akaokote sabuni apate akili😂
Yupo kama mgonjwa wa akiliHayo macho tu anaonekana hayuko sawa Calvin
mwamba ugumu umemponza
Wameandika kwa kina mengine ila kwenye ushuhuda wamebumbabumbaKuna kitu hakipo sawa
Hivi hii ya kuokota sabuni huwa inamaanisha nini mkuu, kuna mtu alihukumiwa nikasikia mwenzie anamuambia, "na ukienda huko sabuni ikidondoka usiokote"Ndo alawiti watoto?
Aende akaokote sabuni apate akili
kufanywa mke na wanaume wenzake😂Hivi hii ya kuokota sabuni huwa inamaanisha nini mkuu, kuna mtu alihukumiwa nikasikia mwenzie anamuambia, "na ukienda huko sabuni ikidondoka usiokote"
Wamebaka Wanaume wangapi?Wanaume bwana.. !
Ungehudhuria shauri hilo mahakamani si ajabu usingepata tabu hii ya maswali.Something is missing, nani alishuhudia akitenda kitendo au aliacha harufu njiani
Watamtengeneza huko aendako.miaka 19? kijana ameharibika mapema sana
Haya mmesha pata loophole ya kumchomoa kwenye rufaa,kazi kwenu wazee wa maokoto!!na mm nimejiuliza hili swali
🙏🏿""Mama wa Mtoto aliporejea aligundua Mtoto wake hayupo sawa ndipo akaenda kutoa taarifa katika ofisi ya Serikali ya Kijiji na taratibu za kumkamata Calvin zikafanyika.""
Mama mtu alijuaje mbakaji ni calvin??
Aisee 😂😂dunia haina usawa. wanaotembea kwa miguu usiku ni wazururaji, na watembea kwa gari usiku siyo wazururaji.
ndivyo ilivyo kwa mtenda jinai asiye na kitu na mwenye kitu.
Habari haijawa kamili (haijawa na muunganiko) any way huenda mtoto ndio alisema kwa umri wa miaka 3 ana utambuzi anaweza kusemaSomething is missing, nani alishuhudia akitenda kitendo au aliacha harufu njiani
Very sad😔Dahhhh! Mtoto mdogo unapataje guts za kumuingilia jamanii??!!!!
Na kabakaji kenyewe katoto ukute nako walishakaharibu muda!!
Dunia inakoelekea hii🙌🙌🙌!
Sana mamy inasikitisha sio kidogo!Very sad😔