1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 438
- 1,752
Aubin Kramo nimemuona mwenyewe leo Zanzibar akiwa jukwaani amekaa anacheki gemu ya Simba vs Singida, Ahmed Ally kama unanisoma hapa, wazee wangu wa Pemba wamenituma wanamtaka Baleke, Phiri, Kramo na Micquisone niende nao mahali ambako napajua mimi, baada ya masaa mawili nitawarudisha wachezaji hawa na hutasikia wameshuka tena viwango wala kuumia, kesho ntakufuata asbh wakati wa mazoezi ya Simba.
Kama mbwai iwe mbwai.
Kama mbwai iwe mbwai.