klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
toba cancelled baada ya kuona sred ya Lizzy inaleta matumainiWeee si umesema hii holidei yote utakuwa unatubu
toba cancelled baada ya kuona sred ya Lizzy inaleta matumainiWeee si umesema hii holidei yote utakuwa unatubu
???????Nikudediketie tu itatosha kweli?Nimekwandikia...
Aiii wewe yaani utakayempata lazima nimuwekee kauzibe kwasababu siamini kama he will take gud care of youKumbe ndicho unachonipendea??Ngoja nimtafute wakunipenda bila sababu!
hehehe hii post akiiona maxshimba utakoma?, na jamaa laptop yake imeibiwa nini ? naona haonekani?. Dah turudi kwenye mada bana kabla waifu wangu Lizzy hajakasirika halaf akaninyima unyumba na holidei hii.
Haya sasa kimeumana???????
Nimemuona uporoto maeneotoba cancelled baada ya kuona sred ya Lizzy inaleta matumaini
I wish I could promise you that we will always be together..Or what we have will last forever!All I can promise you is to always have your back..Be your light whenever it gets dark!Make you the happiest you've ever been..Or atleast the happiest i can!I'll be good to you and treat you right..Make you my last thought before I go to bed at night!All because I love you so..That's what I want you to know!In return don't promise me the world..or give me gold which you can't afford..just be you!
kamanda hizo zinaitwa question mark sio comment, unashauriwa kusoma tena sheria za JF???????
Ahadi ni deni, mie huwa nawakumbusha mara kwa mara. kama msg akinikosea tu namforwadia zote, kama ni email naiprint anaikuta kitandani anakuwa mdogoooo
Hivi watu wanapoahidiana kupendana milele hua wajisikia hivyo ndani ya nafsi zao au hua wanasema kuridhishana tu??Binafsi sijawahi kwasababu hua napenda kutimiza ahadi zangu!
Hehehe safi kabisa!Mi kuna mtu hata tukiongea kwenye simu hua ananiambia nirecord maongezi kabisa ili ajifunge kwa anayosema!Ngoja leo nimkumbushe kitu...
...he he! mashaka huanzia hapo, pekundu penye wekundu na kusisitizwa kwa kupigiwa msitari!
Ni ya kweli hayo toka moyoni, au being me means; What You Want Me To Be! (?)
Kwanza nakutakia pasaka njema,unanifikiria halafu unamwambia nini dawa iliopigwa marufuku ? halafu juzi tuliongea nini ? kuna wimbo wa Mkenya Bob Mapesa 'tuko mbele au tuko nyuma' ? sasa dearest kila nikidhani tuko mbele kumbe bado tuko nyuma.Dearest nlikua nakufikiria sasa hivi!
Kwanza nakutakia pasaka njema,unanifikiria halafu unamwambia nini dawa iliopigwa marufuku ? halafu juzi tuliongea nini ? kuna wimbo wa Mkenya Bob Mapesa 'tuko mbele au tuko nyuma' ? sasa dearest kila nikidhani tuko mbele kumbe bado tuko nyuma.
Lily Flower90% huwa hawatimizi ahadi, baadae uje umulize vipi ahadi yangu hapo story zitakuwa nyingi mwishoe unaishia kusinzia na kusahau kabisa. DONT MAKE PROMISES U CANT KEEP.