Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Kudadadeki! Kweli kufa hakuna breki. Kama huamini basi ongeza hand brake. Hiyo ni mimba au utapia mlo?
Kwani anafafana na Mzee kikwete? Au kwa sababu anayo Gari la Hammer?huyu jamaa ni ndugu yake kikwete?
Rais wetu ni taswira ya jinsi Watanzania tulivyo, otherwise kwa nini alichaguliwa 2005 na ataendelea kuchaguliwa tena 2010? Kama Rais ni msanii, ina maana wengi wetu ni wasanii, kama Rais wetu anatoa ahadi hewa, wengi wetu huwa tunatoa ahadi hewa, nk.
JAMAA KAZIMWA MIA YAKE YA EMBE AAMUA KUANZISHA NGUMI YAANI SASA MAEMBE YOTE YAMETAWANYIKA NA NGUMI ZINAENDELEA |
KUSAIDIANA IPO JAMAA MWINGINE AINGILIA UGOMVI KAZI IPO HAYA NDIYO MAISHA YA BAADHI YA VIJANA HUKO MANOW RUNGWE Baba V |