Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
- Thread starter
- #61
Mkuu Tpaul, hapa unaongelea swala la uwajibikaji ambalo kwa serikali ya Prof. Kikwete ni ndoto ya mchana. Mtu aliwaambia wezi wa EPA warudishe hela na kutambaa atamwajibisha mwanasheria mkuu wa serikali kweli? Na hata haya maneno ya kusema familia yake au watu wake wa karibu wanahusika na hii ESCROW si ndiyo inakuwa giza kabisa no kuwajibishanana fedha za umma alizopoteza kwa kusamehe kodi (na alikiri bungeni kwamba yeye ndiye aliyewapotosha muhongo na maswi) hatazirejesha?