Acha kujichoresha mkuu, wewe kama huna la kusema si bora uwe msomaji,tumekusikia lakini unarudia maneno yale yale, hivi wewe kwanini unafikiri kila anae ipinga cdm ni mwislamu? Au ndio unataka kuaminisha watu kuwa cdm ni ya wakisto?Kwa hiyo nyinyi kushangilia UDINI ni sawa? Mbona shehe ILUNGA hakamatwi?