BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,035
- 3,948
...Kweli. Ukute hiyo call haikuwa Moja TU ya kukua luku, Bali Zilikuwa Kadhaa' ziliwafanya Wajeda wa CIA wajue Jamaa anafahamiana nao zaidi, Sio kwenye kununua Luku TU !!!Mzee kuna vitu zaidi walijua, sio rahisi et ufungwe kisa umenunulia mtu umeme kwa simu yako, mana hakuna sheria inayokataza, tena mbele ya M16 na CIA, huyo mtu alikuwa na deep connection na hao wahusika, bongo hapa yule ambae gereji yake ilitumika mbona aliachiwa? Hawakufungi kizembe hao jamaa, ukinaswa jua upo kweli