Afrika pumbavu

Midnight

JF-Expert Member
Apr 24, 2021
229
678
Nisiwe mnafki sana kuhusu jambo hili, nchi nyingi za kiafrika tunafanana sana Mambo yetu. Yaani unayoyaona hapa nyumbani ndio hayo hayo yapo Burundi, Kenya, Nigeria, South Sudan, Afrika ya kati na hata South Afrika nchi iliyopiga hatua kidogo kwa Afrika.

Aisee ni upumbavu kuona et- watu maarufu nchini ni wachekeshaji, waimbaji, na wapuuzi puuzi tu wenye kufanya maupuuzi huko mitandaoni na unakuta wanapata wafuatiliaji mamilioni kwa mamilioni, wapumbavu hawa wasio jitambua

Sasa unakuta li-kijana limemaliza chuo alafu linalalamika ajira hakuna huku ukiliuliza unaijua hata jamii forum haijui, hana chochote cha zaidi ya kuwa-follow akina juma lokole na kujua ratiba zote za vipindi vya kipuuzi huko median.

Nimechunguza nikagundua kati ya vijana 10 tisa kati yao hawaitumii JamiiForums, zaidi ya kukutana nayo hewani wakati wakiwa wame-google kitu flani. Yaani kwa maamuzi yao hii App sio kipaumbele .

Kujirekodi na kuweka status za kipuuzi puuzi ndio fashion. Sasa jitu hili utaliajiri kweli? Huko vyuoni ni upuuzi tu, elimu mbovu ubishololo umetamalaki, kutafunana tu hadi tunaogopa kupeleka mabinti zetu.

Snap chat, Facebook, Instagram, na kuangalia YouTube chanells za udaku ndio habari ya mujini na vijijini kuliko pelekwa umeme kwa kodi zetu na majasho yetu. Angalia Sasa ni nini wanaposti na kuweka umo, Ni ujinga ujinga tu wa viwango vya kimataifa.

Kwakweli tusimtafute mchawi wala kumsingizia mkoloni au mabeberu, maana ujinga ndani yetu ukiona nchi watu wake maarufu na role model wa watu ni waigizaji, wachekeshaji, machawa, machangu, na waimbaji wa ovyo ovyo basi ujue hakuna kitu hapo.... Ni mzigo kwa Dunia tu.
 
Wenyewe wanakwambia "tushapagawa hatuelewi somo"
emoji23.png
emoji2.png
 
ndugu umewahi fika south africa? Na hizo nchi hapo juu au umezitaja tu?
Ushawahi ona vijana kwenye mikusanyiko posta au sehemu kama pale coffee mlimani. Ushafika mererani ukaona vijana.. sasa usiitukane afrika kwa marafiki zako vichaa waliokuzunguka. Na jamii forum sio sehemu ya kumold society.. viwanja vya vita kwa vijana ni vingi sana. Pumbavu zako wewe!! Usitukane tena afrika..
 
Ukweli ni kwamba hili tatizo sio la Africa tu ni kama dunia nzima imekuwa katika mfumo wa namna hii

Kwa hili naomba Afrika utupe mda kidogo tupumue.Ukitaka kujua hili ni jambo la kidunia jaribu kuangalia kwenye mitandao mingi ya kijamii(iwe ya picha kama instagram,pinterest au ya video kama tik tok,youtube au ya text kama twitter) angalia watu wenye subscibers wengi ni kundi la watu wapi.Then, angalia waliosubscribe kwenye hizo profile watu kutoka Afrika ni kiasi gani

Kikubwa ni kwamba watu wako huru kuchagua maisha wanayopenda kwahiyo inabidi kuelewa tu na maisha yakaendelea
 
ndugu umewahi fika south africa? Na hizo nchi hapo juu au umezitaja tu?
Ushawahi ona vijana kwenye mikusanyiko posta au sehemu kama pale coffee mlimani. Ushafika mererani ukaona vijana.. sasa usiitukane afrika kwa marafiki zako vichaa waliokuzunguka. Na jamii forum sio sehemu ya kumold society.. viwanja vya vita kwa vijana ni vingi sana. Pumbavu zako wewe!! Usitukane tena afrika..
Kuniita. Pumbavu sio suruisho mkuu Chance. Hapa tunajadili ukweli, au nawe ni mmoja wapo? Nitajie hivyo viwanja vya vita ambapo vijana wa kitanzania wanapambania huko tujue!!.
 
Ukweli ni kwamba hili tatizo sio la Africa tu ni kama dunia nzima imekuwa katika mfumo wa namna hii

Kwa hili naomba Afrika utupe mda kidogo tupumue.Ukitaka kujua hili ni jambo la kidunia jaribu kuangalia kwenye mitandao mingi ya kijamii(iwe ya picha kama instagram,pinterest au ya video kama tik tok,youtube au ya text kama twitter) angalia watu wenye subscibers wengi ni kundi la watu wapi.Then, angalia waliosubscribe kwenye hizo profile watu kutoka Afrika ni kiasi gani

Kikubwa ni kwamba watu wako huru kuchagua maisha wanayopenda kwahiyo inabidi kuelewa tu na maisha yakaendelea
Sawa kwa sasa upuuzi umetamalaki sana hata ulaya na kote duniani. Lakini angalau wenzetu wana negat nyingi na positive nyingi pia, Ila sisi sasa Ni negativ
Ukweli ni kwamba hili tatizo sio la Africa tu ni kama dunia nzima imekuwa katika mfumo wa namna hii

Kwa hili naomba Afrika utupe mda kidogo tupumue.Ukitaka kujua hili ni jambo la kidunia jaribu kuangalia kwenye mitandao mingi ya kijamii(iwe ya picha kama instagram,pinterest au ya video kama tik tok,youtube au ya text kama twitter) angalia watu wenye subscibers wengi ni kundi la watu wapi.Then, angalia waliosubscribe kwenye hizo profile watu kutoka Afrika ni kiasi gani

Kikubwa ni kwamba watu wako huru kuchagua maisha wanayopenda kwahiyo inabidi kuelewa tu na maisha yakaendelea
Sawa nakubali kuwa upuuzi umeenea kote duniani nyakati hizi. Lakini angalau wenzetu wa hasi nyingi na chanya nyingi pia, Sasa kwetu huku Negative (H+) ya juu sana.
Ulitaka kuamini chunguza jambo hili.
1: Pinterest kuna account mamilioni za kuelimisha jamii, zote utakuta wazungu na chache mno blacks kutoka ulaya, tafuta za waswahili ukeshe usiku kucha!!

2:Ukitaka kupata kitu sahihi huko gugoni, usijaribu ku-google kwa kiswahili, kwani hautapata ile pure unayoitafuta either Kama utakuwa unatafuta habari za siasa chafu za Tanzania na habari za michezo, kubet na umbea mbea.

3: Asilimia zaidi ya 70% ya account za YouTube Tanzania ukiachana na za mashirika na taasisi binafsi Ni za kipuuzi puuzi tu, utakutana na udaku, michezo, mapishi na vitu vyepesi vyepesi tu na ujinga ujinga tu na ndio zenye umaarufu.

Mambo Ni mengi aisee.
 
Sijaona ulichoandika cha maana zaidi ya kuiongelea Jamii forum.
Wakiijua jamii forum, nini kinafuata? Unafikiri wakiijua jamii forum watajua mambo mengi sana? Kila mtu ana kipaumbele chake kwenye maisha.
Umeandika upuuzi sana wewe kijana
 
Nisiwe mnafki sana kuhusu jambo hili, nchi nyingi za kiafrika tunafanana sana Mambo yetu. Yaani unayoyaona hapa nyumbani ndio hayo hayo yapo Burundi, Kenya, Nigeria, South Sudan, Afrika ya kati na hata South Afrika nchi iliyopiga hatua kidogo kwa Afrika.

Aisee ni upumbavu kuona et- watu maarufu nchini ni wachekeshaji, waimbaji, na wapuuzi puuzi tu wenye kufanya maupuuzi huko mitandaoni na unakuta wanapata wafuatiliaji mamilioni kwa mamilioni, wapumbavu hawa wasio jitambua

Sasa unakuta li-kijana limemaliza chuo alafu linalalamika ajira hakuna huku ukiliuliza unaijua hata jamii forum haijui, hana chochote cha zaidi ya kuwa-follow akina juma lokole na kujua ratiba zote za vipindi vya kipuuzi huko median.

Nimechunguza nikagundua kati ya vijana 10 tisa kati yao hawaitumii jamii forum, zaidi ya kukutana nayo hewani wakati wakiwa wame-google kitu flani. Yaani kwa maamuzi yao hii App sio kipaumbele .

Kujirekodi na kuweka status za kipuuzi puuzi ndio fashion. Sasa jitu hili utaliajiri kweli? Huko vyuoni ni upuuzi tu, elimu mbovu ubishololo umetamalaki, kutafunana tu hadi tunaogopa kupeleka mabinti zetu.

Snap chat, Facebook, Instagram, na kuangalia YouTube chanells za udaku ndio habari ya mujini na vijijini kuliko pelekwa umeme kwa kodi zetu na majasho yetu. Angalia Sasa ni nini wanaposti na kuweka umo, Ni ujinga ujinga tu wa viwango vya kimataifa.

Kwakweli tusimtafute mchawi wala kumsingizia mkoloni ua mabebelu, maana ujinga ndani yetu ukiona nchi watu wake maarufu na role model wa watu ni waigizaji, wachekeshaji, machawa, machangu, na waimbaji wa ovyo ovyo basi ujue hakuna kitu hapo.... Ni mzigo kwa Dunia tu.
Wakubal wakatae ukwel ndo huo
 
Sijaona ulichoandika cha maana zaidi ya kuiongelea Jamii forum.
Wakiijua jamii forum, nini kinafuata? Unafikiri wakiijua jamii forum watajua mambo mengi sana? Kila mtu ana kipaumbele chake kwenye maisha.
Umeandika upuuzi sana wewe kijana
Japo Ni upuuzi, lakini niamini mimi tukikuweka wewe na kijana mwenzio nwingine asiyetumia jamii forum tutakuta angalau wewe una uelewa mpana wa mambo zaidi yake. Nimetolea mfano JF kwakuwa kwa sasa ndio sehemu bora zaidi, au unaweza kunitajia ni tovuti gani nyingine yenye maarifa zaidi hapa nyumbani zaidi ya JF?
 
Jamii forum ifanye jambo kupenya vyuoni aisee itatusaidia kuzidi kuutangaza ni vyema kujivunia chetu
Kweli kabisa. Na nia kuu ya uzi huu ulikuwa ni baada ya kugundua vijana wengi hasa wa mavyuoni hawana mpango nayo, yaani mfano Mambo mengi muhimu yaliyojadiliwa humu kwa mapana wao hata hawayafahamu kabisa.
JF itangazwe zaidi ni sehemu nzuri kukombolea jamii yetu kwa wakati huu.
 
Nisiwe mnafki sana kuhusu jambo hili, nchi nyingi za kiafrika tunafanana sana Mambo yetu. Yaani unayoyaona hapa nyumbani ndio hayo hayo yapo Burundi, Kenya, Nigeria, South Sudan, Afrika ya kati na hata South Afrika nchi iliyopiga hatua kidogo kwa Afrika.

Aisee ni upumbavu kuona et- watu maarufu nchini ni wachekeshaji, waimbaji, na wapuuzi puuzi tu wenye kufanya maupuuzi huko mitandaoni na unakuta wanapata wafuatiliaji mamilioni kwa mamilioni, wapumbavu hawa wasio jitambua

Sasa unakuta li-kijana limemaliza chuo alafu linalalamika ajira hakuna huku ukiliuliza unaijua hata jamii forum haijui, hana chochote cha zaidi ya kuwa-follow akina juma lokole na kujua ratiba zote za vipindi vya kipuuzi huko median.

Nimechunguza nikagundua kati ya vijana 10 tisa kati yao hawaitumii jamii forum, zaidi ya kukutana nayo hewani wakati wakiwa wame-google kitu flani. Yaani kwa maamuzi yao hii App sio kipaumbele .

Kujirekodi na kuweka status za kipuuzi puuzi ndio fashion. Sasa jitu hili utaliajiri kweli? Huko vyuoni ni upuuzi tu, elimu mbovu ubishololo umetamalaki, kutafunana tu hadi tunaogopa kupeleka mabinti zetu.

Snap chat, Facebook, Instagram, na kuangalia YouTube chanells za udaku ndio habari ya mujini na vijijini kuliko pelekwa umeme kwa kodi zetu na majasho yetu. Angalia Sasa ni nini wanaposti na kuweka umo, Ni ujinga ujinga tu wa viwango vya kimataifa.

Kwakweli tusimtafute mchawi wala kumsingizia mkoloni ua mabebelu, maana ujinga ndani yetu ukiona nchi watu wake maarufu na role model wa watu ni waigizaji, wachekeshaji, machawa, machangu, na waimbaji wa ovyo ovyo basi ujue hakuna kitu hapo.... Ni mzigo kwa Dunia tu.
Mitandao sio Afrika tu, ni duniani kote, na kuna matumizi ya kujiburudisha na matumizi ya kibiashara pia
 
Back
Top Bottom