Afrika Kusini: Msemaji wa Rais asema Ramaphosa hatajiuzulu kutokana na kashfa inayomkabili

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,024
1,616
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa hatajiuzulu licha ya kashfa ya fedha zilizoibwa kutoka kwa shamba lake. Mzozo huo unatokana na madai kwamba aliweka pesa nyingi kwenye mali yake kisha akaficha wizi wake, ambapo Wanasheria wamehitimisha kuwa ana kesi ya kujibu

Hata hivyo Msemaji huyo amesema Rais atapambana, na badala ya kujiuzulu atawania muhula wa pili kama kiongozi wa chama chake cha African National Congress (ANC)

Kashfa hiyo ilizuka mwezi Juni, wakati mkuu wa zamani wa Ujasusi wa Afrika Kusini, Arthur Fraser, alipowasilisha malalamiko kwa polisi akimshtumu rais kwa kuficha wizi wa zaidi ya Tsh. Bilioni 9 pesa taslimu kutoka shamba lake la Phala Phala mnamo 2020.


...................


South Africa's President Cyril Ramaphosa will not resign despite a scandal over money stolen from his farm, his spokesman says. The row centres on claims he kept large sums of cash on his property then covered up its theft. A panel of legal experts concluded that he has a case to answer.

But Mr Ramaphosa's spokesman suggested he would fight on, and rather than quit would seek a second term as leader of his African National Congress party.
"President Ramaphosa is not resigning based on a flawed report, neither is he stepping aside," Vincent Magwenya said

"It may be in the long-term interest and sustainability of our constitutional democracy, well beyond the Ramaphosa presidency, that such a clearly flawed report is challenged," he added.

The scandal erupted in June, when a former South African spy boss, Arthur Fraser, filed a complaint with police accusing the president of hiding a theft of $4m (£3.25m) in cash from his Phala Phala game farm in 2020.

A quick guide to South Africa's 'Farmgate' scandal
Mr Ramaphosa admitted that money had been stolen, but said it was $580,000, not $4m.
The president said the $580,000 had come from the sale of buffalo, but the panel, headed by a former chief justice, said it had "substantial doubt" about whether a sale took place.

The panel's findings have been handed to parliament, which is set to examine them and decide whether or not to launch impeachment proceedings against the president.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom