Duuh haya matukio ya kikatili kama kwa Mandela...Sasa ivi Watanzania tumekua wakatili kupita kiasi aisee..mi nadhani kungekua na sheria ambayo intakiwa Watanzania woote wachukuliwe Finger print na yawepo katika saver tukio kama hili linachukua siku chache kujulikana wahusika na si washukiwa..ila kama T scan ya Muhimbiri tu inatusumbua haya mengine sijajua kama yatawezekana kwa sasa ivi..
Afisa wa TANAPA bwana Kisamo Emmily ameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kuchinjwa kama mbuzi huko Arusha.
Mwili uko kwenye chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Mount Meru.
Kuna tetesi kuwa amechinjwa kwa kuhisiwa kuwa ndio alikuwa na orodha ya vigogo nchini waliokuwa wanajihusisha na biashara haramu ya pembe za ndovu.
Misukule ya siasa utajua tu kila.kitu ni siasaDuh hii hatari aiseeee. Polisi bado wanakimbizana na intelijensia yao juu ya Chadema. Itakua jamaa alipinga jambo! Mungu atawahukumu
Commen za misukule ya siasaPoleni wanaccm wote
Lumumba hawagusi huu uzi!!!