Wakati bado akiwa amekaa kimya dhidi ya ushaidi aliopelekewa na mwakyembe wa kuwataja watu walioshiriki katika tukio la kutaka kumwangamiza mwakyembe said mwema ameanza kuwaamisha watuhumiwa kutoka katika vituo vyao vya kati mmoja wa watuhumiwa wakuu wa sakata hili ni askari polisi mashuhuri wa morogoro anayejulikana kwa jina mashuhuri la Sabasita kampeleka kwenda kuwa mkufunzi CCP moshi.
Said mwema nini kinaendelea?
Said mwema nini kinaendelea?