Kumbesa
Senior Member
- Dec 29, 2011
- 113
- 22
Afande Azizi alijipatia shukrani nyingi kutoka kwa Rais wa zanzibar baada ya kufanya kazi yake kama alivyo hitajika bila kujali Dinii au mahali inapofanyiwa ,binafsi nampongeza kwa Ushujaa wake na kuonesha ukakamavu wa hali ya juu matokeo hayo yalikuwa ni upande wa zanzibar hapa Dar kilicho nishangaza afande kova ameshindwa kutumia mbinu kama ile aliyoibuni afade Azizi na kuwaruhusu watu kufika maeneo hayo na kufanya waliyo yafanya
Kamanda Kova alifika kutaka kuzungumzanao lakini alishindwa na kwenda kuungana na viongozi wa wizara.
Ilipofika laasiri pakageuzwa msikiti na kuswaliwa hapo hapo.
Hapa wakisujudu.
Wakiomba dua maalum.
Jopo la masheikh wakitoka wizarani kuja kutoa tamko la jeshi mbele ya waisilamu ambalo walikubaliana na madai ya waisilamu kuachiliwa huru kwa watu wote wanao kamatwa kwa kupinga kuandikishwa sensa.