Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
Habari wakuu wanaJF. Niwapongeze walim wote waliopata vituo vya kazi na niwatakie kazi njema. Nina ombi jaman kabla ya kwenda huko mlikopangiwa mtushike mkono na mtupeleke pale mlipokuwa mnafanya internship au temporary job ili nasi tupate sehem ya kujikeep busy na uzoefu tunapohangaika na michongo mingine,.jamani mi nipo tayari popote kwa chance yoyote ile. Asanteni sana