Wakuu Salaam!!Je kuna yeyote anayeifahamu vizuri Advans Bank.....am talking about Career Development, Salary and Benefits na mambo mengine kama hayo?! Hawa jamaa naona wameanza kuzingua kabla ya muda coz' mie nili-apply for Branch Manager na wameniita kwa ajili ya post nyingine ambayo sina sifa nayo hata chembe!!! Mbaya zaidi, nimesafiri nje ya Dar wakati wao wamenitaka J3 for interview....so, ningependa kufahamu kama ni mbolea kuvunja safari na kuhudhuria huo usaili!!!