mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,060
- 630
Hey wadau kwa wale waliofanya oral interview ter 18/05/02,pale makao makuu ya Advans Bank,vip tayari wameita au ndo bra bra za mjini!
Aya mambo ya kazi jamani tuwetunajiongeza wenyewe, ukiona huitwi kwa interview ujue haujakuwa shortlisted ingawa makampuni mengi interview ni kwa ajili ya kutimiza taratibu za kampuni kwa kutangaza kazi na kuita watu kwa interview lakini watu unakuta tayari wameshaandaliwa na wenye ndugu zao.
Aya mambo ya kazi jamani tuwetunajiongeza wenyewe, ukiona huitwi kwa interview ujue haujakuwa shortlisted ingawa makampuni mengi interview ni kwa ajili ya kutimiza taratibu za kampuni kwa kutangaza kazi na kuita watu kwa interview lakini watu unakuta tayari wameshaandaliwa na wenye ndugu zao.