incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,241
- 3,534
Najua inaumiza sana Mzazi kupokea Taarifa za Binti yake kupata ujauzito ile hali angali mwanafunzi,
Lakini siku zote panapo maamzi ya hasira lazima kuna galama zake pia.
Sheria zipo kwa ajili ya kulinda na kutetea haki lakini pia sio kosa kutumia busara na hekima kabla hatujafikia hatua ya sheria.
Yapo mazingira ambayo Wazazi tunapaswa kuyazingatia hasa tunapopokea taarifa za watoto wetu kupata ujauzito kabla hatujafuata sheria.
Kwanza Mzazi kama mzazi inafaa kujiuliza mimba ilipatikana kwa mazingira yapi? Binti kabakwa, yaani kaingiliwa bila ridhaa au aliridhia mwenyewe na walikubaliana?
Naongea hivi kwa sababu zifuatazo, Kuna baadhi ya watoto wetu wakike Wameshindikana na mara nyingi tabia zao tunazijua hata sisi wenyewe wazazi na hata mda mwingine tunawaonya lakini hawabadiliki, Mtoto wa hivyo akipewa mimba tumuache aolewe na sio kupelekana jela, cha msingi ni kumskiliza kijana kama yuko tayari kuwajibika kama baba acha waishi mda mwingine Dunia nayo hufunza, Lakini pia sio kila lijalo kwa ubaya huishia pabaya kuna mambo mengine yanaweza kuja kwa taswira ya Ubaya na aibu mwishoni ikawa neema.
Kuna familia binti anapata ujauzito wanapanic wanamfungulia kijana mashtaka anaenda jela miaka 30, kisha Binti anarudishwa shule bado anapuyanga anapata Ziro. Akirudi nyumbani napo anakuta hamna msaada hatmae Binti anaondoka nyumban kwenda kujitaftia maisha na kuacha mtoto nyumban ambae hana Baba.
Anahangaika huko kutafta kazi anaishia kuwa BARMAID, anapalangana huko anadumbukia kwenye Udangaji na mwisho anajikuta anakwaa HIV POSITIVE, anakufa.
Huku nyuma mtoto anakosa malezi ya Baba ambae anatumikia kifungo cha miaka 30 jela, anakosa huduma za msingi, Mwisho wa siku anaishia kuwa Mvuta bange na Panya road anachomwa moto, Historia finish.
Baba mtu chukulia picha alitekereza tukio akiwa na miaka 33 akifungwa mingine 30 anakuja kutoka Jela na miaka 63, tayari keshapoteza matumaini hana nguvu ya kuzalisha chochote, akirudi anakuja kuwa tegemezi na masikini akiangalia wenzake aliowaacha uraian walishamtangulia anapata depression tunampoteza. Total Finish.
Matokeo ya hayo yote ni HASIRA NA SHERIA. Siku zote waliotunga sheria hawakuwazia Matokeo baada ya sheria, Anaepaswa kufikiria ni wewe kabla hujaifikia sheria.
Lakini kumbe pengine ingetumka busara ukatambua kuwa mwanao kachagua maisha ya Ndoa badala ya shule ungebariki tu, Wakaishi mwenyezimungu huwa anamipango kwa kila mtu pengine wangepambana wakaishi kwa amani na kulea mtoto wao kwa upendo na hata kesho akawa mtu mhimu katika jamii, lakini hasira za mda mfupi na sheria zimeharibu maisha ya watu watatu wote kwa pamoja, HASIRA HASARA.
Naomba nisieleweke vibaya sitetei mimba za utotoni lakini katika maamzi ya hasira siku zote matokeo yake hubomoa.
Tujifunze kutumia busara kwanza kabla hatujatumia sheria.
Lakini siku zote panapo maamzi ya hasira lazima kuna galama zake pia.
Sheria zipo kwa ajili ya kulinda na kutetea haki lakini pia sio kosa kutumia busara na hekima kabla hatujafikia hatua ya sheria.
Yapo mazingira ambayo Wazazi tunapaswa kuyazingatia hasa tunapopokea taarifa za watoto wetu kupata ujauzito kabla hatujafuata sheria.
Kwanza Mzazi kama mzazi inafaa kujiuliza mimba ilipatikana kwa mazingira yapi? Binti kabakwa, yaani kaingiliwa bila ridhaa au aliridhia mwenyewe na walikubaliana?
Naongea hivi kwa sababu zifuatazo, Kuna baadhi ya watoto wetu wakike Wameshindikana na mara nyingi tabia zao tunazijua hata sisi wenyewe wazazi na hata mda mwingine tunawaonya lakini hawabadiliki, Mtoto wa hivyo akipewa mimba tumuache aolewe na sio kupelekana jela, cha msingi ni kumskiliza kijana kama yuko tayari kuwajibika kama baba acha waishi mda mwingine Dunia nayo hufunza, Lakini pia sio kila lijalo kwa ubaya huishia pabaya kuna mambo mengine yanaweza kuja kwa taswira ya Ubaya na aibu mwishoni ikawa neema.
Kuna familia binti anapata ujauzito wanapanic wanamfungulia kijana mashtaka anaenda jela miaka 30, kisha Binti anarudishwa shule bado anapuyanga anapata Ziro. Akirudi nyumbani napo anakuta hamna msaada hatmae Binti anaondoka nyumban kwenda kujitaftia maisha na kuacha mtoto nyumban ambae hana Baba.
Anahangaika huko kutafta kazi anaishia kuwa BARMAID, anapalangana huko anadumbukia kwenye Udangaji na mwisho anajikuta anakwaa HIV POSITIVE, anakufa.
Huku nyuma mtoto anakosa malezi ya Baba ambae anatumikia kifungo cha miaka 30 jela, anakosa huduma za msingi, Mwisho wa siku anaishia kuwa Mvuta bange na Panya road anachomwa moto, Historia finish.
Baba mtu chukulia picha alitekereza tukio akiwa na miaka 33 akifungwa mingine 30 anakuja kutoka Jela na miaka 63, tayari keshapoteza matumaini hana nguvu ya kuzalisha chochote, akirudi anakuja kuwa tegemezi na masikini akiangalia wenzake aliowaacha uraian walishamtangulia anapata depression tunampoteza. Total Finish.
Matokeo ya hayo yote ni HASIRA NA SHERIA. Siku zote waliotunga sheria hawakuwazia Matokeo baada ya sheria, Anaepaswa kufikiria ni wewe kabla hujaifikia sheria.
Lakini kumbe pengine ingetumka busara ukatambua kuwa mwanao kachagua maisha ya Ndoa badala ya shule ungebariki tu, Wakaishi mwenyezimungu huwa anamipango kwa kila mtu pengine wangepambana wakaishi kwa amani na kulea mtoto wao kwa upendo na hata kesho akawa mtu mhimu katika jamii, lakini hasira za mda mfupi na sheria zimeharibu maisha ya watu watatu wote kwa pamoja, HASIRA HASARA.
Naomba nisieleweke vibaya sitetei mimba za utotoni lakini katika maamzi ya hasira siku zote matokeo yake hubomoa.
Tujifunze kutumia busara kwanza kabla hatujatumia sheria.