ADC wa Rais Samia asijisahau Kiitifaki hawaruhusiwi Kucheka wala Kutabasamu awapo kazini


Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena akiwa na Sare zake za Kijeshi huwa haruhusiwi Kucheka au Kutabasamu katika Mazingira yoyote yale awapo na Boss wake ambaye Kimedani ni CIC (Amiri Jeshi Mkuu).

Hivyo huyu ADC wa Rais Samia tafadhali watu wa Protokali wa Kijeshi wamkumbushe kuwa hatakiwi kufanya hivyo kama ambavyo anaonekana amefanya katika Ukurasa wa X (zamani Twitter) wa Rais Samia huku pembeni yake (kulia kwake) akiwa na muota ndoto za alinacha kuwa siku moja atakuja kuwa Rais wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje January Makamba.

Na nashauri ambao mtanishangaa kwa huu Uzi watafuteni kwanza watu wa Protokali za Kijeshi na TISS wawaelimishe Ok?
Mbona umeandika huku unajistukia sana
 

Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena akiwa na Sare zake za Kijeshi huwa haruhusiwi Kucheka au Kutabasamu katika Mazingira yoyote yale awapo na Boss wake ambaye Kimedani ni CIC (Amiri Jeshi Mkuu).

Hivyo huyu ADC wa Rais Samia tafadhali watu wa Protokali wa Kijeshi wamkumbushe kuwa hatakiwi kufanya hivyo kama ambavyo anaonekana amefanya katika Ukurasa wa X (zamani Twitter) wa Rais Samia huku pembeni yake (kulia kwake) akiwa na muota ndoto za alinacha kuwa siku moja atakuja kuwa Rais wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje January Makamba.

Na nashauri ambao mtanishangaa kwa huu Uzi watafuteni kwanza watu wa Protokali za Kijeshi na TISS wawaelimishe Ok?
Kwani siku walipompa hiyo nafasi hakuwepo mwenye vigezo hivyo mpaka wakampa huyo?
Mchakato wa kumpata ulikiukwa?
 
Kama kuna mlinzi wa rais aliyekuwa anatamani kucheka ila anajikaza kisabuni ni mpambe wa Jiwe Imagine mtu anaambiwa abaki na mavi yake nyumbani au kama yule mfungwa kiwete wa gereza la butimba aliyefungwa kwa ubakaji aliyesema miguu yake haifanyi kazi akaambiwa na magufuli kwamba miguu haifanyi kazi ila mguu wa tatu unafanya kazi
ila watu.
 

Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena akiwa na Sare zake za Kijeshi huwa haruhusiwi Kucheka au Kutabasamu katika Mazingira yoyote yale awapo na Boss wake ambaye Kimedani ni CIC (Amiri Jeshi Mkuu).

Hivyo huyu ADC wa Rais Samia tafadhali watu wa Protokali wa Kijeshi wamkumbushe kuwa hatakiwi kufanya hivyo kama ambavyo anaonekana amefanya katika Ukurasa wa X (zamani Twitter) wa Rais Samia huku pembeni yake (kulia kwake) akiwa na muota ndoto za alinacha kuwa siku moja atakuja kuwa Rais wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje January Makamba.

Na nashauri ambao mtanishangaa kwa huu Uzi watafuteni kwanza watu wa Protokali za Kijeshi na TISS wawaelimishe Ok?
Ukiangalia vizuri kwa kuzoom utagundua kwamba huyo ADC wala hakuwa anacheka kwa sababu hakuna ishara yeyote hapo inayoonesha kwamba alikuwa anacheka.

Hapo huwenda alikuwa anaongea kitu ama alifunua mdomo kidogo na meno yake yakaonekana.

Labda utuambie kwamba haruhusiwi kuonesha meno yake kwa NAMNA YEYOTE ILE.

ama utuambie kwamba kucheka tafsiri yake kwa walinzi wa raisi ni kitemdo cha KUONESHA MENO.

Mbali na hapo huyo hakuwa anacheka.
 
Hiini Tanzania sio Rwanda nendakwangongoti kaishi tz niinchipisi kilamtuanatakiwaafulahie
 
She always has to dance to the tunes of 'Trust Nobody And Be Unpredictable' !!!
 

Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena akiwa na Sare zake za Kijeshi huwa haruhusiwi Kucheka au Kutabasamu katika Mazingira yoyote yale awapo na Boss wake ambaye Kimedani ni CIC (Amiri Jeshi Mkuu).

Hivyo huyu ADC wa Rais Samia tafadhali watu wa Protokali wa Kijeshi wamkumbushe kuwa hatakiwi kufanya hivyo kama ambavyo anaonekana amefanya katika Ukurasa wa X (zamani Twitter) wa Rais Samia huku pembeni yake (kulia kwake) akiwa na muota ndoto za alinacha kuwa siku moja atakuja kuwa Rais wa Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje January Makamba.

Na nashauri ambao mtanishangaa kwa huu Uzi watafuteni kwanza watu wa Protokali za Kijeshi na TISS wawaelimishe Ok?
Akicheka au kutabasamu rais anapata madhara gani.?
Ni upuuzi tupu!
Unataka mtu muda wote awe ananuna kama anakula malimao??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom