Achilli will kill his father and marry his mother

Malaika Mkuu

JF-Expert Member
Nov 5, 2014
901
907
Watabiri mashuhuri huko Greece miaka mingi kabla kuzaliwa kwa kristo walitabari mfalme atazaa mtoto wa kiume... Mtoto huyo atakuja kumuua mfalme ambaye ni baba yake na kumuoa mke wa mfalme ambaye ni mama yake .....

Baada ya mfalme kupokea utabiri huo wakashauriana mtoto auwawe...Mfalme akataka baada ya mtoto kuzaliwa mfalme akaagiza mtoto atupwe porini aliwe na wanyama.... Alipotupwa wawindaji wakamuokota wakamtunza....Achili akakua katika jamii ya ambao kwao kila mtu anaeonekana na farasi ni adui yao lazima wamuue....

Achilli, mtoto alietupwa, akiwa kijana mwenye nguvu siku moja akakutana na mzee yupo kwenye farasi akakumbuka huenda ni maadui wanakuja kutuvamia, akachukua mshale akamuua mzee Yule. Baada ya wazee kuja wakagundua amemuua mfalme wakakimbia na kumtelekeza Achilli....nae akakimbia baada ya kutengwa akarudi mjini kutafuta maisha....

Alipofika mjini akapata kazi ya kwenye kasri la mfalme... Na akapewa kazi ya kumhudumia mke wa mfalme aliyefiwa mmewe bila kujua ni mama yake. Mahaba yakaanza baada ya Muda mke wa mfalme akaolewa na kijana naye akatawazwa mfalme, utabiri wa Oracle of Apollo ukatimia.....

Baada ya kuapishwa kua mfalme akatangaza yoyote atakaebainika alimuua mfalme alikuwepo kabla yangu atauwawa...... Oracle of Apollo wakatingisha manyanga kucheki nani anahusika.....ndio naendelea kusoma hapa nitwajuza kipi kiliendelea ni kitabu kizuri saana kiliandikwa kabla yesu kuzaliwa na SOFOKOZI (SophoclesHILL).
 
UMESIMULIWA NAWE UNAKUJA KUTAKA KUDANGANYA WATU HAPA. hiyo story haipo hivyo na kumbe hata kukisoma hicho kitabu hujawah kukisoma hata kidogo. mimi nimekisoma na nimekifanyia analysis story yako ni tofaut na ilivyo kwenye kitabu chenyewe kilichoandikwa huko ugiriki miaka hiyo BC. jina la mhusika si hilo na pia hata story umeipindisha labda useme umetunga nyingne au hii ni version nyingne. so please kama hujui uliza au sasa amua kusoma kuliko kuja kupotosha watu hapa huku sisi wengine wenye uelewa tukiwepo.tafuta jukwaa la watoto uwasimulie. MWENYE KUTAKA KITABU ANIFATE INBOX NTAMTAJIA JINA LA KITABU NA HATA HADITH YAKE. achaneni na hii ya uongo.
 
UMESIMULIWA NAWE UNAKUJA KUTAKA KUDANGANYA WATU HAPA. hiyo story haipo hivyo na kumbe hata kukisoma hicho kitabu hujawah kukisoma hata kidogo. mimi nimekisoma na nimekifanyia analysis story yako ni tofaut na ilivyo kwenye kitabu chenyewe kilichoandikwa huko ugiriki miaka hiyo BC. jina la mhusika si hilo na pia hata story umeipindisha labda useme umetunga nyingne au hii ni version nyingne. so please kama hujui uliza au sasa amua kusoma kuliko kuja kupotosha watu hapa huku sisi wengine wenye uelewa tukiwepo.tafuta jukwaa la watoto uwasimulie. MWENYE KUTAKA KITABU ANIFATE INBOX NTAMTAJIA JINA LA KITABU NA HATA HADITH YAKE. achaneni na hii ya uongo.
Huna lolote ungekuwa unakijuwa kitabu hicho au story hiyo ungetueleza hapa haya mambo ya kufuatana pm wakati kitabu siyo siri ni ujinga siyo ujanja.
 
UMESIMULIWA NAWE UNAKUJA KUTAKA KUDANGANYA WATU HAPA. hiyo story haipo hivyo na kumbe hata kukisoma hicho kitabu hujawah kukisoma hata kidogo. mimi nimekisoma na nimekifanyia analysis story yako ni tofaut na ilivyo kwenye kitabu chenyewe kilichoandikwa huko ugiriki miaka hiyo BC. jina la mhusika si hilo na pia hata story umeipindisha labda useme umetunga nyingne au hii ni version nyingne. so please kama hujui uliza au sasa amua kusoma kuliko kuja kupotosha watu hapa huku sisi wengine wenye uelewa tukiwepo.tafuta jukwaa la watoto uwasimulie. MWENYE KUTAKA KITABU ANIFATE INBOX NTAMTAJIA JINA LA KITABU NA HATA HADITH YAKE. achaneni na hii ya uongo.
Mwanawane wenzio hukosoa huku wakielezea unyoofu Wa story sio kusema 'haikuwa hivyo' kisha unakulazako kona ndo Yale Yale ya ccm kusema watashinda huku watanzania wote hawakubaliani na hili.
 
Kitabu kinaitwa Oedipus the Rex na mhusika ndiyo huyo Oedipus mchapishaji na Sophocles. Ni kweli mtoa mada amesimuliwa, mimi nimekifanyia mtihani wa Form VI kwenye Literature 2. Kina mafunzo mazuri kwa binadamu kwamba siku zote binadamu hawezi kukimbia mustakabhali wa maisha yake.
 
Kitabu kinaitwa "King Oedipus" by Sophocles
The moral lesson, You can't run away from fate
Mtoa mada umepindisha story labda kama ndo fasiri ya kiswahili ilivyoandikwa but unavyosema kiliandikwa before jesus you mean the original copy sio tafsiri.
 
Huna lolote ungekuwa unakijuwa kitabu hicho au story hiyo ungetueleza hapa haya mambo ya kufuatana pm wakati kitabu siyo siri ni ujinga siyo ujanja.
Well said mkuu, kunakitu gani anakificha!? Kama story anayo kwanini anataka tuanze kumfuata fuata na kumuomba.
 
Nimerudi. ni kweli kuwa mtoa mada amesimuliwa au kasikiasikia. hiki kitabu mimi nlikifanyia fasihi udsm miaka ya nyuma kinaitwa OEDIPUS THE KING. na ndicho killichoza Theory moja kwenye Psychology inaitwa Oedipus theory wale wenzangu nami wanaopenda kusoma watakuwa wamenielewa. story yake ni tofauti na yapo juu. Hii original yenyewe iliyoandikwa miaka ile na wagiriki ni tamu na yenye kuvutia sana na yenye mafundisho.
 
umesimuliwa nawe unakuja kutaka kudanganya watu hapa. Hiyo story haipo hivyo na kumbe hata kukisoma hicho kitabu hujawah kukisoma hata kidogo. Mimi nimekisoma na nimekifanyia analysis story yako ni tofaut na ilivyo kwenye kitabu chenyewe kilichoandikwa huko ugiriki miaka hiyo bc. Jina la mhusika si hilo na pia hata story umeipindisha labda useme umetunga nyingne au hii ni version nyingne. So please kama hujui uliza au sasa amua kusoma kuliko kuja kupotosha watu hapa huku sisi wengine wenye uelewa tukiwepo.tafuta jukwaa la watoto uwasimulie. Mwenye kutaka kitabu anifate inbox ntamtajia jina la kitabu na hata hadith yake. Achaneni na hii ya uongo.

acha uchoyo wa kijinga mwenzio kakianika wewe unafanya siri hata kitabu tu cha hadithi unaona uchungu watu wakijua !!!!!!!!!!! Pole sana je ingekuwa dawa ya kuponya ukimwi naamini hata usingeandika humu jf
 
Back
Top Bottom