ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

Mnataka Trilioni 100 kwa kampuni ambayo asset zake zote na Mtaji haufikii trilioni 4 wehu kabisa nyinyi
Sio tunataka trilioni 100+. Hicho ni kiasi walichoiba. Kama wanauwezo wa kulipa au la hilo ni suala lingine. Lakini kama wana hizo trillion 4 maana yk ni Kampuni kufilisiwa. Sasa hizo trillion 4 ni haba, +makinikia pale bandalini na kwamba wizi umethibitiwa, huoni kama huo ni ushindi na ukombozi mkubwa? Hata tukiamua kuwatimua bila kulipwa chochote ni poa, kwani hatutaendelea kuibiwa. Mfano una Marcopolo lako na baada ya miaka 5 umekuja gundua kuwa dereva wako alikuwa anaiba dizel na kukusababishia hasara ya mamilioni ya shillings, hutachukua hatua yoyote kisa dereva wako hana akiba ya hata laki moja? Hata hivyo aliyebeba dhamana ni Barrick. Unaujua utajili wa Barrick. Halafu nani kakwambia kuwa deni ni lazima lilipwe kwa mkupuo? Kama kwenye majadiliano ikathibitika kuwa kweli hasara ni tri.100+ hata jinsi ya kulipa wataafikiana. As long kama uchimbaji wataendelea nao, kitu ambacho hawatapenda kukipoteza tunaweza tukakubaliana nao kuwa kuanzia sasa wao watachukua 4% ya faida na sisi 96% mpaka hapo deni + riba litakapo kuwa recovered, na baada ya hapo business kuendelea ktk mkataba mpya utakaokuwa na manufaa kwa pande zote mbili. Mbuzi (Acacia) kaingia na kufanya uharibifu kwenye shamba la mtu kashikwa na anataka kuchinjwa. Mwenye mbuzi (Barrick) kaja na kuahidi kuleta watu wake kuja kuangalia uharibifu huo na kulipa na kuhakikisha yanaandaliwa mazingira ambayo kama ni yeye mwenyewe Barrick au mbuzi wake hatafanya uharibifu tena. Sasa mnanung'uniko na malalamishi yenu ya nini? Kama mnadhani ngoma hii ni nzito hamuiwezi kaeni kando kwani nani kawaita? Na kama saga hili linawatisha fumbeni macho. Kelele zenu zisije zikatuchanganya.
 
Unao ushahidi? Sasa nikwambie kitu! Matofali ya dhahabu hayaibiwi kupitia private charters, Bali husagwa na vumbi lake kusafirishwa kwenye makontena kwa jina makinikia. Upo!! Na katika yale makontena ya ziada, ambayo hayakuwa declared, humo ndio yamo matofali mazimamazima ya dhahabu.
Yale makontena yataendelea kuenda ulaya na mchanga wake shida ni mikataba mibovu!!! ambayo serikali ya ccm imeingia na wawekezaji uchwara!! kukomesha hili ni kupitia upya na mr prez dar hili halizungumzii kwa kuwa mle kuna shea na pasenti za watangulizi wake!!! Ataendelea kucheza na akili za watanzania mpaka miaka kumi yake inaisha hakuna chochote cha maana!!!
 
Unao ushahidi? Sasa nikwambie kitu! Matofali ya dhahabu hayaibiwi kupitia private charters, Bali husagwa na vumbi lake kusafirishwa kwenye makontena kwa jina makinikia. Upo!! Na katika yale makontena ya ziada, ambayo hayakuwa declared, humo ndio yamo matofali mazimamazima ya dhahabu.
Acha uongo ww
 
View attachment 523919 haya sasa,Barrick wamekanusha kufikia makubaliano ya kuilipa Tanzania japo wameongea na Rais
Hawajakanusha, ila wamefafanua.....kusingekuwa na kitu wasingekuja kwa adabu na hawawezi kuanika wzi wao hadhara kirahisi, utawaletea matatizo zaidi...wana migodi dunia nzima hawa..........reputation ipo ktk kipindi kigumu sana.

Wanakubali kiungwa, ni aibu na kashfa kubwa sana kwao na madhara yake kibiashara ya kwenda mbali zaidi.
 
Hawajakanusha, ila wamefafanua.....kusingekuwa na kitu wasingekuja kwa adabu na hawawezi kuanika wzi wao hadhara kirahisi, utawaletea matatizo zaidi...wana migodi dunia nzima hawa..........reputation ipo ktk kipindi kigumu sana.

Wanakubali kiungwa, ni aibu na kashfa kubwa sana kwao na madhara yake kibiashara ya kwenda mbali zaidi.
Sasa Raisi alisema wamekubali kulipa kwani ndiye msemaji wa ACACIA?
 
Huu utani sasa
Ina maana Yohana ametudanganya?
Yohana hajaongopa chochote, hawa watu wazima kuanika ujinga wao hadharani ni fedheha, ila wamelegea...mpaka kupanda ndege mpaka hapa lipo jambo tu............ila asipokomaa wanaweza hata kutaka 'kukata' ili yaishe kimya kimya.
 
Hawajakanusha, ila wamefafanua.....kusingekuwa na kitu wasingekuja kwa adabu na hawawezi kuanika wzi wao hadhara kirahisi, utawaletea matatizo zaidi...wana migodi dunia nzima hawa..........reputation ipo ktk kipindi kigumu sana.

Wanakubali kiungwa, ni aibu na kashfa kubwa sana kwao na madhara yake kibiashara ya kwenda mbali zaidi.
Acha uongo
 
Sasa bila mazunguzo mnadhani kitajulikana vipi kinachotakwa kulipwa.... Yaani ni kwamba baada ya mazungumzo ndio itajulikana kiasi kinachotakiwa kulipwa
 
View attachment 523919 haya sasa,Barrick wamekanusha kufikia makubaliano ya kuilipa Tanzania japo wameongea na Rais
Nia yao ilikuwa ni kukubali yaishe, yule aliyekuwa akizungumza na rais wala hamtamwona tena watakuja 'wakoloni' wengine kabisa wala hawatagusia mazungumzo yale. Watajifanya hawajui kilichozungumzwa, ndivyo sheria ilivyo. Mtuhumiwa anakubali mbele ya polisi ili asipigwe sana akifika mahakamani anakana kabisa.
 
Huyu jamaa mangu nimwongo sanaaaa!!Hana hata aibu kulidanganya taifa.Hayo ndio matatizo ya kuwa rai s kanjanja.
 
Back
Top Bottom