Abubakari Zuberi, Mufti wa Tanzania alazwa Muhimbili

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
BUBAKAR Zuberi, Mufti wa Tanzania kupitia Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata), amelazwa kwenye Hospital ya Taifa ya Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tumbo hapo jana.

Taarifa kutoka ndani ya Bakwata zinaeleza kuwa, Mufti Zuberi alifikishwa Muhimbili jana.

Saidi Mpeta ambaye ni Ofisa Habari wa Bakwata amethibitisha kulazwa kwa Mufti Zuberi na kwamba alifikishwa Muhimbili jana.
54a82f6742bb23b8c0946ca1b20ebe17.jpg
 
bakwata bora wampe sheikh kipozeo huwa hamung'uny maneno kwenye hapana yeye bi hapana na ndio ni ndio
 
Watanzania bhana! Mtu kuugua tayari Mshataja Zanzibar! Kipindi kile cha uchaguzi, watu walipokufa alitajwa Lowasa. Badilikeni bhana. Pole mufti.
 
BUBAKAR Zuberi, Mufti wa Tanzania kupitia Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata), amelazwa kwenye Hospital ya Taifa ya Muhimbili baada ya mupasuliwa tumbo

Taarifa kutoka ndani ya Bakwata zinaeleza kuwa, Mufti Zuberi alifikishwa Muhimbili jana.

Saidi Mpeta ambaye ni Ofisa Habari wa Bakwata amethibitisha kulazwa kwa Mufti Zuberi na kwamba alifikishwa Muhimbili jana.
54a82f6742bb23b8c0946ca1b20ebe17.jpg
Allah akujaalie kheri afya yako iimarike Mufti;WALLAAH DHULFADHLIL-'ADHIIM.
 
Back
Top Bottom