Phenomenon Lady
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 407
- 242
Unaweza toa mimba ya miezi minne?
wewe ni muuwaji kwanini uitowe hiyo mimba?Unaweza toa mimba ya miezi minne?
Unaweza toa mimba ya miezi minne?
Duu Pole sana wasiliana na mimi kwa Private messege nitakupa namba ya Dada yangu mke wako aende kumuona dada yangu kuna bibi mmoja yupo hapo Dare-Salaam anawasaidia wanawake wengi wasioweza kushika mimba. Huyu bibi anatumia Dawa za mitishamba mke wako akijaribu hizo dawa anaweza kushika mimba inshallah.Mimi na mke wangu tumehangaika tangu 2009 kutafuta mtoto hakuna kitu. tumeenda kwa madaktar na chunguzi zote zimefanyika juu yetu lakini hakuna kitu...mi nafikiri kasoro ma.vi tu ila dawa zote za miti shamba tumekunywa hakuna kitu. leo Mungu amekujaalia neema ya kiumbe unataka kuitoa......eeeeh Mungu weeeee kwanini kiumbe hicho kinachotaka kuuwawa usikipandikize kwenye tumbo la mke wangu?????
Mimi na mke wangu tumehangaika tangu 2009 kutafuta mtoto hakuna kitu. tumeenda kwa madaktar na chunguzi zote zimefanyika juu yetu lakini hakuna kitu...mi nafikiri kasoro ma.vi tu ila dawa zote za miti shamba tumekunywa hakuna kitu. leo Mungu amekujaalia neema ya kiumbe unataka kuitoa......eeeeh Mungu weeeee kwanini kiumbe hicho kinachotaka kuuwawa usikipandikize kwenye tumbo la mke wangu?????
Ndo maisha yalivyo ndugu yangu,wakati ww una hamu na mtoto huku mwanaume mwingine anakupa stress mpaka unajuta kwanini ulishika huo ujauzito,anakufanya uchukie kiumbe ulichobeba ww mwenyewe..life z so unfair.all in all m wishing u all the best
Ni kweli unayoyasema lakini kwa kutoa mimba ya miezı 4 unaweza kutoa na wewe usıdhurike kitu ila Kidini na kibinadamu unakuwa umefanya kosa kubwa la jinai unaweza hata kwenda jela ukijulikana. Itabidi uvumilie tu kwa huyo anaye kupa Stress na ndio aliyekupa hiyo Mimba yako pole sana bibie.Ndo maisha yalivyo ndugu yangu,wakati ww una hamu na mtoto huku mwanaume mwingine anakupa stress mpaka unajuta kwanini ulishika huo ujauzito,anakufanya uchukie kiumbe ulichobeba ww mwenyewe..life z so unfair.all in all m wishing u all the best
Mimi na mke wangu tumehangaika tangu 2009 kutafuta mtoto hakuna kitu. tumeenda kwa madaktar na chunguzi zote zimefanyika juu yetu lakini hakuna kitu...mi nafikiri kasoro ma.vi tu ila dawa zote za miti shamba tumekunywa hakuna kitu. leo Mungu amekujaalia neema ya kiumbe unataka kuitoa......eeeeh Mungu weeeee kwanini kiumbe hicho kinachotaka kuuwawa usikipandikize kwenye tumbo la mke wangu?????
Ndo maisha yalivyo ndugu yangu,wakati ww una hamu na mtoto huku mwanaume mwingine anakupa stress mpaka unajuta kwanini ulishika huo ujauzito,anakufanya uchukie kiumbe ulichobeba ww mwenyewe..life z so unfair.all in all m wishing u all the best
Unaweza toa mimba ya miezi minne?