Habari za muda huu ndugu zangu, mimi sina mengi sana ila kauli yangu ni moja tu kama tutaiacha hii nchi iendeshwe na wapenda maslahi ya matumbo yao na kuwaacha vijana hawa wanaojitokeza tena kwa moyo wa dhati kabisa bila hata kuhonga mabilioni ili tu wapate wadhifa fulani basi ipo siku tutakuja kuambiwa tulipie kila hatua tunayopiga ili tu wenye matumbo makubwa wale washibe. BINAFSI NAMPONGEZA SANA KIJANA MWENZANGU ABEL MAGEMBE KWA KUWA NA MOYO WA DHATI KABISA WA KULIOKOA JIMBO LA SUMBAWANGA MJINI. Naombeni tumpe ushirikiano ili tuondoe hili taifa la kujali matumbo zaidi kuliko wananchi wa Tanzania.
CICT MEMBERSHIP CLUB-ST. JOHN'S UNIVERSITY OF TANZANIA.: POLITICIAN
CICT MEMBERSHIP CLUB-ST. JOHN'S UNIVERSITY OF TANZANIA.: POLITICIAN
Hakika siasa mtandaoni ni u.puz kabisa.....huyu kijana namfaham,shule ya msingi kasoma shule moja iko.bariadi-mashariki kata ya mhunze,O-level Tabora na A-level shinyanga.
Namfahamu hana foundation yoyote ile zaidi ya kufuga nywele tu
Vijana nawashauri
tumieni elimu mliyoipata kutengeneza maisha yenu, mtapoteza muda bure,
kwani wengi wenu mnataka kupoteza muda kwa kufikiri kuwa mtapata ubunge
lakini nawaonya kuwa maisha siyo hivo...ukamanda mnaoitana ni wa
kinafiki lengo lenu ni uroho wa madaraka na mafanikio ya uongo
mnayodangaywa. Kuweni makini na kufanywa vyambo katika maisha haya ya
Siasa-maduhuli. Tafuteni kwanza uzoefu ili mjue how gvt works. Ili
msiende kupayukapayuka huko mjengoni kama wenzenu .
Vijana nawashauri tumieni elimu mliyoipata kutengeneza maisha yenu, mtapoteza muda bure, kwani wengi wenu mnataka kupoteza muda kwa kufikiri kuwa mtapata ubunge lakini nawaonya kuwa maisha siyo hivo...ukamanda mnaoitana ni wa kinafiki lengo lenu ni uroho wa madaraka na mafanikio ya uongo mnayodangaywa. Kuweni makini na kufanywa vyambo katika maisha haya ya Siasa-maduhuli. Tafuteni kwanza uzoefu ili mjue how gvt works. Ili msiende kupayukapayuka huko mjengoni kama wenzenu .
Hata muheza kuna kamanda anaitwa riziki magembe nae atagombea jimbo la muheza vijijini,kwa sasa anajenga chama hata leo nimemwona jukwaani kijiji cha mafleta katika mkutano wa cdm wakujenga chama