William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
..hivi kwanini Babu na Wakomunisti wenzake hawakwenda kuishi China,Cuba,N.Korea,...?
..hivi huo Ukomunisti wanauamini kweli au wana-experiment tu? kwamba it is just an academic exercise?
Mkuu jokakuu,
Heshima mbele, mimi nime-conclude kwamba Mwalimu na Babu walikuwa ni wamoja, ila walikuwa wanatugirini tu wananchi!