Mlimani health center
JF-Expert Member
- Nov 25, 2021
- 595
- 1,416
Wana jamvi hamjambooo
Nawaza tu kufungua bakery hapa nyumbani,kuna pesa nawaza kuifanyia uwekezaji na niko sehem ndo mji umeanza kuja so nadhania kuanza kuanzisha biashara ya bakery
Nawakaribisha mnipe mwongozo
Nawaza tu kufungua bakery hapa nyumbani,kuna pesa nawaza kuifanyia uwekezaji na niko sehem ndo mji umeanza kuja so nadhania kuanza kuanzisha biashara ya bakery
Nawakaribisha mnipe mwongozo