Aisee nomasana kwanza mwambie huyo jamaa yako (mweusi kama mkaa) hayo mawigi huko bungeni yamepitwa na wakati. Inaonyesha ni jinsi gani kasumba ya mwingereza bado imewatawaleni. Tunawangojeni uchaguzi ujao mchinjane tena kwa ukabila manaake nyinyi wakenya bado hamjastaarabika, trust me!
Yaani wewe unafikiri ninahitaji kupata ushauri kutoka kwa wakenya (of all the people)? Vipi aisee, leo umeamkia wapi? Sawa dogo, itakuwa vizuri kama utaendelea kuota ndoto!...I pity people like you who cant take advice or copy and improve on a good idea. Tanzania itatawalwa na CCM kwa sababu ya Ubishi, majivuno yasio na msingi, blaa blaa, kutosoma na upumbavu wa watu kama wewe wasiojua kukaa ndani ya mada. y'all need change son
Yaani wewe unafikiri ninahitaji kupata ushauri kutoka kwa wakenya (of all the people)? Vipi aisee, leo umeamkia wapi? Sawa dogo, itakuwa vizuri kama utaendelea kuota ndoto!
Ok, have a nice weekend!its not like you have a choise, angalia sera za CHADEMA na uangalie ya NARK before the 2002 elections.. mtu wangu kwenye katiba yenu mta kopea ama you'll borrow alot from Kenya.. watch that space
its not like you have a choice, angalia sera za CHADEMA na uangalie ya NARK before the 2002 elections.. mtu wangu kwenye katiba yenu mta kopa ama you'll borrow a lot from Kenya.. watch that space