A New Collection of Nyerere's Work to be Published Next Week !

inashangaza kuwa huna rangi tutakayokubainisha nayo. Uko ccm, bado mwalimu humkubali. Una hasara dada

Nyerere namkubali sana na alikuwepo na ni Waziri Mkuu wa Kwanza wa Tanzania, na ni Rais wa Kwanza wa Tanzania na ni Rais aliye kaa madarakani kwa muda mrefu kuliko Rais mwingine yeyote wa Tanzania, na ni muasisi wa Azimio la Arusha na ni Mzanaki (kabila dogo sana ukilinganisha na makabila mengine ya Tanzania), na amebatizwa akiwa mtu mzima na amelitumikia Kanisa wakati akiwa Rais wa Tanzania, na ni msemaji mzuri sana kuliko Rais yoyote wa Tanzania na ni mchekeshaji (comedian) mzuri sana kuliko Rais yoyote wa Tanzania, na ni Rais aliyetuwacha maskini kuliko Rais yoyote mwingine wa Tanzania, na ni Rais anaetaka kupewa utakatifu kuliko Rais mwengine yeyote wa Tanzania na ni Rais ambae siasa zake za Ujamaa zimeshindwa (failed), na ni Rais ambae siasa zake za Ujamaa zimeondolewa kabla hajafa, na ni Rais pekee aliyekufa nje ya Tanzania na ni Rais pekee aliyekubali makosa yake, na ni Rais pekee aliyepewa fedha za kujenga msikiti na Gaddafi akiwa hai lakini msikiti ukajengwa baada ya yeye kufa.

Ni punguani yupi anaesema simkubali Nyerere?
 
mnaodhania faiza foxy ni mwanamke mnakosea,huyu ni yusufu makamba,huoni mahudhurio yake yamepanda baada ya ule mkutano wa nec,anamponda nyerere kwa niaba ya jk
 
Nyerere namkubali sana na alikuwepo na ni Waziri Mkuu wa Kwanza wa Tanzania, na ni Rais wa Kwanza wa Tanzania na ni Rais aliye kaa madarakani kwa muda mrefu kuliko Rais mwingine yeyote wa Tanzania, na ni muasisi wa Azimio la Arusha na ni Mzanaki (kabila dogo sana ukilinganisha na makabila mengine ya Tanzania), na amebatizwa akiwa mtu mzima na amelitumikia Kanisa wakati akiwa Rais wa Tanzania, na ni msemaji mzuri sana kuliko Rais yoyote wa Tanzania na ni mchekeshaji (comedian) mzuri sana kuliko Rais yoyote wa Tanzania, na ni Rais aliyetuwacha maskini kuliko Rais yoyote mwingine wa Tanzania, na ni Rais anaetaka kupewa utakatifu kuliko Rais mwengine yeyote wa Tanzania na ni Rais ambae siasa zake za Ujamaa zimeshindwa (failed), na ni Rais ambae siasa zake za Ujamaa zimeondolewa kabla hajafa, na ni Rais pekee aliyekufa nje ya Tanzania na ni Rais pekee aliyekubali makosa yake, na ni Rais pekee aliyepewa fedha za kujenga msikiti na Gaddafi akiwa hai lakini msikiti ukajengwa baada ya yeye kufa.

Ni punguani yupi anaesema simkubali Nyerere?
Kwakunogesha jamvi na chuki zako nakupa hongera mrembo Mkunguni!
 
Kwenye uchumi ni totally failure na nyanja nyote zingine ni zaidi ya kufeli namkubali katika kuchonga tu, ni "orater" (mpiga porojo) mzuri sana na kujichekeshachekesha hovyooo.
Mpiga porojo aliyewachinjia porini ''wazee wetu wa gerezani''
 
Nyerere namkubali sana na alikuwepo na ni Waziri Mkuu wa Kwanza wa Tanzania, na ni Rais wa Kwanza wa Tanzania na ni Rais aliye kaa madarakani kwa muda mrefu kuliko Rais mwingine yeyote wa Tanzania, na ni muasisi wa Azimio la Arusha na ni Mzanaki (kabila dogo sana ukilinganisha na makabila mengine ya Tanzania), na amebatizwa akiwa mtu mzima na amelitumikia Kanisa wakati akiwa Rais wa Tanzania, na ni msemaji mzuri sana kuliko Rais yoyote wa Tanzania na ni mchekeshaji (comedian) mzuri sana kuliko Rais yoyote wa Tanzania, na ni Rais aliyetuwacha maskini kuliko Rais yoyote mwingine wa Tanzania, na ni Rais anaetaka kupewa utakatifu kuliko Rais mwengine yeyote wa Tanzania na ni Rais ambae siasa zake za Ujamaa zimeshindwa (failed), na ni Rais ambae siasa zake za Ujamaa zimeondolewa kabla hajafa, na ni Rais pekee aliyekufa nje ya Tanzania na ni Rais pekee aliyekubali makosa yake, na ni Rais pekee aliyepewa fedha za kujenga msikiti na Gaddafi akiwa hai lakini msikiti ukajengwa baada ya yeye kufa.

Ni punguani yupi anaesema simkubali Nyerere?
Mimi simkubali, na wewe najua haumkubali kabisa huyu mzee..........Therefore mimi na wewe ni MAPUNGUANI.
 
Ni nchi zote zilizo nationalise zilipata matatizo hayo?

Na kama sivyo,then pointi yako bado haina nguvu.

Kama unaamini kuwa Tz ndo taifa pekee lililofuata nationalization policy na kufail,then prove it to me,halafu nikubaliane na wewe...Ukweli ni kwamba kuna nchi zinaendelea vizuri tu licha ya kwamba zili nationalise major means of production.

Je unajuwa nationalization ni against mfumo gani na unajuwa ni mfumo huo ambao unafagiliwa na IMF?

Hivi mkuu unajua kuwa unajicontradict mwenyewe?

Kwanza umesema haya:

Mkuu,mtu anayetaka ufuate policies zake atakwambia kuwa zake ni mbaya na zako ni nzuri?

Huwezi kuniletea sababu za IMF halafu nikubaliane nazo na wakati ukweli ni kwamba walitaka policies zao zifuatwe.

IMF inasimamiwa na wadau ambao walikuwa wakoloni tuliowafukuza,unategemea policies zao ziweje?

Think and think!

Sababu unazozitumia ku justify kwamba policies zao ndo nzuri mimi ndo nazozipinga.

Ulipomaliza ukaja kudai kila nchi ilyonationalize ilipatwa na matatizo hayo mie sijui nikujibu nini?

Hebu nipatie basi economic indicators zinazoonyesha kuwa uchumi wakati wa nyerere ulikuwa mzuri sana. He messed up our economy kawaulize maprofessor wako watakujibu.
 
Mimi kama mchumi naweza kuwauliza Pro Nyerere,
Je ni kitu gani cha kiuchumi mnachoweza kumkumbaka Nyerere katika maendeleo ya Tanganyika?

Viwanda alivyouza Mkapa; Mwatex, Mutex, Urafiki, UFI, Mabwawa ya Nyumba ya Umeme, Mashamba na Ranchi nchni nzima, Elimu Bora kwa wananchni wote, Air Tanzania, CRDB enzi hiyo ikiwa Benki ya Mkulima, Benki ya nyumba leo mnatafuta mikopo kupitia NHC baada ya kuiba na kuuwa benki iliyowekwa mahususi kwa kazi hiyo, NBC Bank ikishamiri nchni nzima,Mgololo Paper Mill, Tazara, Tazama, Meli zilizokuwa zinatumika katika ziwa Victoria, Hotel za Kitalii kila Mkoa, Kwakweli ni mambo mengi sana unaweza kujaza vitabu labda kama hujui viashiria uchumi n.k. Barubaru naona wewe ni mtaalam wa Uchumi wa makalatasi kama Kikwete na Zitto Kabwe!!
 
Viwanda alivyouza Mkapa; Mwatex, Mutex, Urafiki, UFI, Mabwawa ya Nyumba ya Umeme, Mashamba na Ranchi nchni nzima, Elimu Bora kwa wananchni wote, Air Tanzania, CRDB enzi hiyo ikiwa Benki ya Mkulima, Benki ya nyumba leo mnatafuta mikopo kupitia NHC baada ya kuiba na kuuwa benki iliyowekwa mahususi kwa kazi hiyo, NBC Bank ikishamiri nchni nzima,Mgololo Paper Mill, Tazara, Tazama, Meli zilizokuwa zinatumika katika ziwa Victoria, Hotel za Kitalii kila Mkoa, Kwakweli ni mambo mengi sana unaweza kujaza vitabu labda kama hujui viashiria uchumi n.k. Barubaru naona wewe ni mtaalam wa Uchumi wa makalatasi kama Kikwete na Zitto Kabwe!!

makalatasi = makalatasi
 
Wiki inayokuja itakuwa ni mojawapo ya wiki za kusisimua sana kuelekea miaka hamsini ya Uhuru. Nimeshaweka oda yangu yupieeee!!!
 
Hivi mkuu unajua kuwa unajicontradict mwenyewe?

Kwanza umesema haya:



Ulipomaliza ukaja kudai kila nchi ilyonationalize ilipatwa na matatizo hayo mie sijui nikujibu nini?

Hebu nipatie basi economic indicators zinazoonyesha kuwa uchumi wakati wa nyerere ulikuwa mzuri sana. He messed up our economy kawaulize maprofessor wako watakujibu.
Mindset yako iko kwenye state ambayo nuttin will help...
 
[h=2]Vitabu vya hotuba za hayati Mwalimu Nyerere vyazinduliwa[/h]


Na Mwandishi wetu



17th November 2011


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni




Nyerere%2817%29.jpg

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere


Vitabu vitatu vilivyoandikwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, vilizinduliwa jana katika viwanja vya Makumbusho jijini Dar es Salaam.
Vitabu hivyo ni Uhuru na Mfumo mpya wa uchumi Duniani, Uhuru na Maendeleo na Uhuru na Siasa ya Kutofungamana.
Akifafanua baadhi ya vitu vilivyomo katika vitabu hivyo, Mwenyekiti wa Kigoda cha Mwalimu Nyerere, Professa Issa Shivji, alisema vitabu hivyo vina hotuba za Mwalimu Nyerere ambazo alihutubia katika maeneo mbalimbali na kwa wakati tofauti.
“Vijana tusome vitabu vyote sita vya Mwalimu ili tujue kama sera na fikra zake zimepitwa na wakati ili kubishana naye kifikra na tusonge mbele kimaendeleo,” alisema.
Akizindua vitabu hivyo kwa niaba ya Mwalimu Nyerere Foundation, Mkuu wa Chuo cha Mwalimu Nyerere, alisema vitabu hivyo vina lengo la kuwafahamisha wananchi juu ya hotuba za Mwalimu na kila kitabu kina hotuba zaidi ya 30.
Hotuba zilizoko katika vitabu hivyo ni za kuanzia mwaka 1974 hadi mwaka 1999.
 
Back
Top Bottom