Ubaguzi wa Uzanzibari na Uzanzibara kauleta Nyerere yeye ndie alikuwa mtu wa mwanzo kulitumia hili neno,kabla ya hapo watu walikuwa hawajajibagua wanajijua wao ni nani.
'Comment' yangu nilimjibu yule jamaa aliefananisha kinachoendelea Crimea na Zanzibar kwa kusema "Somo kwa zanzibar"...Jibu langu lilikuwa huwezi kufananisha zanzibar na Crimea kwani kabla Crimea haijawa sehemu ya Ukraine ilikuwa sehemu ya Urusi,mwaka 1954 Crimea ilikabidhiwa kwa Ukaraine
kwahiyo huwezi kufanannisha Zanzibar na Crimea kwani zanzibar haijawahi kuwa sehemu ya Tanganyika,isipokuwa kuna sehemu za Tanganyika zimewahi kuwa sehemu za Zanzibar....nimezitaja kama Bagamoyo......
Sasa hapo nimeleta wapi Uzanzibari na Uzanzibara......?
Nikuulize personal question Mkuu,Je wewe ndio wale walioshiandwa kufaulu darasa la saba nini
Is the Western empire collapsing? US and EU are basically bankrupt its only that they are psychologically conditions to think otherwise. China is taking all the trade advantage this countries had. Scotland is splitting from England. Go Putin. Hope this will have the same effect as WWII where it lead to independent and free Africa.
Zanzibar ikijitoa kwenye Muungano kwa Ujinga wa Wapemba natabiri Unguja itarejea kama ilivorejea Crimea kwenye Urusi baada ya ahadi na matarajio ya uongo kutokutimia.
Hapana kaka siyo mimi. Je, unaonaje sasa tuwe na rais mmoja tu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania?
husiogope sema.
Hakuna alicho nyanganywa sultani ambacho kilikuwa kwa niaba ya wazanzibari wa wakati ule wala wa sasa!sultani alikuwa mwivi ,mkandamizaji kama watawala wenzake wa wakati huo wakiwanyonya wananchi ,hiyo ndio hoja yangu
Utabiri hauko hivyo.
Crimea imejitoa ukraine na kuingia urusi.na zainzibar kwa mfano huo itajiunga na EAC na sadcc . Na inaweza jiunga na kenya au mauritius au uae...
Kajifunze kwanza ujue historia ndio uanze kubisha. kajifunze uelewe Tunapozungumzia Ukraine ilikuwa sehemu ya USSR then wakajitoa sasa sehemu ya Ukraine (Crimea) inataka kurejea kwenye Himaya ya Urusi. kumbuka EAC na SADEC ulizotolea mifano sio nchi ni ushirikiano wa Kikanda.
Kajifunze kwanza ujue historia ndio uanze kubisha. kajifunze uelewe Tunapozungumzia Ukraine ilikuwa sehemu ya USSR then wakajitoa sasa sehemu ya Ukraine (Crimea) inataka kurejea kwenye Himaya ya Urusi. kumbuka EAC na SADEC ulizotolea mifano sio nchi ni ushirikiano wa Kikanda.