Udhaifu & ulegelege wa uongozi ulitangulia ktk chama tawala kuanzia utawala mwisho wa Mwinyi kuanzia 1990-2015 ndiyo inatufanya tuwe hivi!
Ila hakika nawaambieni ya kwamba mwisho wa hawa mafisadi uko mkononi mwa Wanainchi.
Hiki chama kikirudi madarakani 2015 Mi binafsi nakwenda kuomba uraia wa kudumu Sudan ya Kusini.
Na hawa mafisadi sanasana kuanzia huyu Mkapa & Kikwete kwa hali walitufikisha hakika serikali inayokuja lazima iwaulize.
Serikali tawala na wabunge wake wote ni DHAIFU mpaka mibongo yao.
Jamani nataka huyo alifikiria kwa sana akaja na wazo hili la bajaj kuwa ambulance alikuwa nani, kwanza inarusha, pili mgonjwa mtu mzima ni lazima akae, sipati picha ikiwa mtu yuko unconscious, sijui watamtundikaje.
Mambo mengine hata mtoto wa KG anaweza kufikiria better.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.