Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 710
- 1,559
Bado siku kadhaa ili tushuhudie miamba mitatu ikitunishiana misuli katika kuonesha nani ana nguvu kuzidi mwenzake..
siku ya trh 24 nchi hii itasimama kwa muda kucheki pambano la nani atakuwa na mafuriko!!..iko hivi. ..
1.Ali kiba atakuwa Kahama
2.Fiesta itazinduliwa dar
3.Wasafi festival Live in Mtwara
yetu machoooooooooo!!
siku ya trh 24 nchi hii itasimama kwa muda kucheki pambano la nani atakuwa na mafuriko!!..iko hivi. ..
1.Ali kiba atakuwa Kahama
2.Fiesta itazinduliwa dar
3.Wasafi festival Live in Mtwara
yetu machoooooooooo!!