2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Kuna watu bado wana dharau kubwa sana kwa uwezo wa wanawake kama viongozi. Indira Gandhi aliiongoza nchi kubwa ya India kwa uwezo kubwa katika vipindi mbali mbali na kupendwa sana na wananchi wake. Magreath Thatcher AKA Iron Lady aliiongoza Uingereza na kupendwa sana na wengi hata wale ambao hawakumchagua.

Huwa nashangaa sana kuona bado kuna watu wenye dhana potofu kwamba mwanamke hastahili kuwa Rais wa Marekani. Huwa inanikumbusha dhana potofu iliyokuwepo kabla ya Obama kuingia madarakani toka kwa watu mbali mbali wakiwemo wasomi na wajuzi waliobobea katika masuala ya siasa kwa kudai kwamba "America is not ready for a Black president" 2008 akachaguliwa na kuingia madarakani huku USA ikiwa katika hali mbaya sana ya kiuchumi lakini kupitia uongozi wake akaimarisha uchumi kwa kucreate almost 16 million jobs na akachaguliwa tena mwaka 2012.

NB: Nilikuwa sijui kama nawe unajua kusonya :):):)

Mxiiiiewwww!...lol!
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kuna watu bado wana dharau kubwa sana kwa uwezo wa wanawake kama viongozi. Indira Gandhi aliiongoza nchi kubwa ya India kwa uwezo kubwa katika vipindi mbali mbali na kupendwa sana na wananchi wake. Magreath Thatcher AKA Iron Lady aliiongoza Uingereza na kupendwa sana na wengi hata wale ambao hawakumchagua.

Huwa nashangaa sana kuona bado kuna watu wenye dhana potofu kwamba mwanamke hastahili kuwa Rais wa Marekani. Huwa inanikumbusha dhana potofu iliyokuwepo kabla ya Obama kuingia madarakani toka kwa watu mbali mbali wakiwemo wasomi na wajuzi waliobobea katika masuala ya siasa kwa kudai kwamba "America is not ready for a Black president" 2008 akachaguliwa na kuingia madarakani huku USA ikiwa katika hali mbaya sana ya kiuchumi lakini kupitia uongozi wake akaimarisha uchumi kwa kucreate almost 16 million jobs na akachaguliwa tena mwaka 2012.

NB: Nilikuwa sijui kama nawe unajua kusonya :):):)


Haha!, najitahidi tu kusonya..:)

Ni kitu cha kushangaza kwa kweli kuona watu bado wanaweka wanawake kwenye kundi ambalo bado hakuna uwezo wa kufanya baadhi ya kazi kama wanaume, kama vile uongozi.

I'm sure there're some who voted against her just because she's a woman. We still have a long way to go. Nilipenda sana kwenye speech yake pale ali encourage wanawake kuto kukata tamaa. Imagine the kind of a payback it would've been to this misogynist, if she had won.

Halafu another thing am glad to find out (the one I posted) is, the whole concept of some women who voted for her, because she would've been the very first woman President and none for him, because he's Trump.
Meaning even if there was another man on repub ticket, wangemchagua Hillary.

It was a good feeling and at the same time somehow unbelievable to almost have a WOMAN, as a leader of the free world and the global superpower. :)
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mtabiri Joshua na watu wake yamewashuka huruma sana aise.!? Watu walikuwa na uhakika wa ushindi utafikiri wao ndiyo wapiga kura.ukigeuka huku utasikia raisi wa kwanza Mwanam...ukigeuka huku utasikia history ya miaka kibao inavunjwa haaaaaa damn tupumzike sasa.
 
Election reaction: Protests across the country - CNNPolitics.com

161109203610-trump-tower-protests-new-york-sot-ac-00003114-small-169.jpg


Thousands of protesters targeted Trump buildings in New York and Chicago on Wednesday, chanting anti-Trump slogans as protests against President-elect Donald Trump popped up throughout the United States.

In Austin, Texas, protesters blocked a highway. Students burned a flag on the campus of American University in Washington, and they walked out of class in high schools and colleges across the country the day after the presidential election.

"Not my president, not today," was a chant heard at protests from Boston to Los Angeles.
In downtown Los Angeles, high school students crowded the steps of City Hall on Wednesday afternoon. Protester Brooklyn White was holding a sign that said "Hate won't win." The 18 year old voted for Hillary Clinton and was disappointed.
"We can't let it stop us. If he's the president then fine, but if Donald Trump is gonna be it then he has to listen," she said..
 
Hata waandamane uchi Trump Ndio Rais wa 45 wa America, waamerica wamesema hayo kupitia sanduku la kura

Stupid sore losers.

Hivi kwa mfano na waliompigia kura Trump wakiamua kuingia mtaani kutakuwa na amani kweli?

Anyway, acha watekeleze haki yao ya kikatiba. Wakichoka watarudi majumbani mwao.
 
I hope this won't last long, otherwise the journey ahead will be very difficult.


I know right, ni hivi tu on the very first day after election. Hopefully it won't last long.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jifunzeni jambo muhimu katikati ya hoja yenu.
Umwanamke sii hoja ya maana saaaana kwenye uchaguzi au uteuzi wowote popote pale duniani.
Inaanza UTU (awe ni mtu).
Inafuata UTAIFA (lazima awe raia wa taifa husika)

TUNATAMKA UMWANAMKE AU UMWANAUME KAMA TUNATAKA KUFANYA JAMBO KWENYE JAMII YETU LINALOJIPAMBANUA KWA JINSIA, KWA MFANO KUOLEWA, KUOA, UNYAGO, JANDO N.K
Kuna watu bado wana dharau kubwa sana kwa uwezo wa wanawake kama viongozi. Indira Gandhi aliiongoza nchi kubwa ya India kwa uwezo kubwa katika vipindi mbali mbali na kupendwa sana na wananchi wake. Magreath Thatcher AKA Iron Lady aliiongoza Uingereza na kupendwa sana na wengi hata wale ambao hawakumchagua.

Huwa nashangaa sana kuona bado kuna watu wenye dhana potofu kwamba mwanamke hastahili kuwa Rais wa Marekani. Huwa inanikumbusha dhana potofu iliyokuwepo kabla ya Obama kuingia madarakani toka kwa watu mbali mbali wakiwemo wasomi na wajuzi waliobobea katika masuala ya siasa kwa kudai kwamba "America is not ready for a Black president" 2008 akachaguliwa na kuingia madarakani huku USA ikiwa katika hali mbaya sana ya kiuchumi lakini kupitia uongozi wake akaimarisha uchumi kwa kucreate almost 16 million jobs na akachaguliwa tena mwaka 2012.

NB: Nilikuwa sijui kama nawe unajua kusonya :):):)
 
Mkuu hayo maneno manne uliyoyataype yamedhihiisha uungwana, big up!

Kuna watu hawataki kuamini na kukubali kilichotokea.....Ndio yashatokea hayo.

Mkuu, mimi pia nilitoa mtazamo wangu hapa lakini wakati umefika sasa wa kutazama hali halisi kwenye jamii fulani badala ya kuangalia nje ya boksi.

Wamarekani wengi walikwishaamua kumchagua Donald Trump na walichokuwa wakiifanya ni kumsindikiza tu Hillary Clinton.
 
Hivi lile gazeti litakalokufa na Trump linaitwaje tena vile?...ni Washington post au ni New york times?
 
Even Lowassa had huge rallies and many people say he won, may be Tanzania had election rigging of its own. Filling the arenas is indeed a significant sign.

Ha...the smartheads who pooh-poohed the 'significance' of crowds at Trump's rallies are wiping some egg on their faces right now:D.
 
Back
Top Bottom