Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,128
- 1,225
Ndugu wanajamii. Napendekeza mwaka 2015 tuchague mfanya biashara maarufu mwenye mafanikio makubwa na sio mwenye jina kubwa lakini mikopo ya benki kibao. Brazil walimchagua mfanya biashara maarufu mwenye kumiliki viwanda vikubwa vya nguo, na matokeo yake sasa brazil wapo pazuri sana na wameisha jitoa katika recession. Italy wamemchagua Belaruskon Mmiliki wa AC Milani, na mfanya biashara mkubwa pale milan. mambo yao sasa Italy ni mazuri sana. Sasa hapa tanzania naona tujalibu kuwapa uraisi wafanya biashara maarufu , ndugu zangu mnaonaje hilo.