Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,833
- 3,815
rombo sehemu gan bwasheee!!!Haya mambo yalivuma sana wakati nakua. Sikuwahi kuyatilia maanani hata kidogo
Mwaka juzi Niko Rombo nimeshuhudia kwa macho yangu sijaambiwa. Dogo mmoja alidumbukia kwenye shimo ambalo wanadai Huwa Lina tabia ya kunyonya watu damu na anayefanya hivyo chunusi ambae Yuko humo ndani.
Wana Kijiji ambao wako around tulienda tukamkuta dogo anapumua kwa shida. Huwezi amini tunavuta lakin kama Kuna kitu kimemshikilia. Kwa macho naona mwili wa dogo unanyauka. Mpaka polisi walikuja na dogo alizikwa kesho yake mkavu kama kakaushwa. .
Mambo mengine sio ya kusimulia ujionee mwenyewe. .