nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 1,621
- 829
Kumbe wewe mgeni dar au bado kijana mdogoUsizungumze kitu kama huna historia ya kutosha. Unajua Waislamu walikuwa wanalazimishwa kula nyama ya Nguruwe?? Hadi hapo mwinyi alivyoshika madaraka ndio akasuluhisha hilo jambo na kusema rukhsa kila mmoja ale atakacho. Sasa huo si ulikuwa uchochezi wa Imani? Je uliwahi wasikia Waislamu kufanya fujo kwa hilo??