USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Ratiba za bunge zinaonesha kuwa tarehe 10/6/2023 bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania litakaa na kujadili mkataba wa bandari na kampuni ya Daubai kifungu Kwa kifungu.
Kwa wale wanaotaka kusikiliza tarehe tajwa amka mapema washa TV fuatilia Ili mbivu na mbichi zijulikane
USSR
Kwa wale wanaotaka kusikiliza tarehe tajwa amka mapema washa TV fuatilia Ili mbivu na mbichi zijulikane
USSR