1.01.2012 nilikaribishwa hapa...

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Chador dinning.jpeg


Msije kuuliza midomo ipo wapi!!
 
hujazamia kweli hapa halafu utakuwa umefakamia kama vile unahama ila big up mkuu umeukarisha vizuri mwaka
 
Naona Mligonga CHAI na SODA!! tena zimefunguliwa kabisa halafu menyu ni ready made on the plate
 
hongera mkuu kwa kuukaribisha mwaka vizuri dua kwanza kabla ya kugonga menyu. very nice combination, chai na soda.
 
Hii picha mlipiga ya nini maana hata ukumbusho haifai maana hamna sura...............happy new year.
 
Back
Top Bottom