nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Jan 2, 2012 #2 hujazamia kweli hapa halafu utakuwa umefakamia kama vile unahama ila big up mkuu umeukarisha vizuri mwaka
hujazamia kweli hapa halafu utakuwa umefakamia kama vile unahama ila big up mkuu umeukarisha vizuri mwaka
M Malila JF-Expert Member Dec 22, 2007 5,149 4,674 Jan 3, 2012 #4 Mkuu wa meza mbona hayupo hapo? au ni nyumba ya wajuba?
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 3, 2012 #6 mwanaume unakuunywa soda kwenye mrija na mademu wanywe kwe ny nini?
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Jan 3, 2012 #7 Naona Mligonga CHAI na SODA!! tena zimefunguliwa kabisa halafu menyu ni ready made on the plate
ngoshwe JF-Expert Member Mar 31, 2009 4,131 931 Jan 3, 2012 Thread starter #8 afrodenzi said: ammmmmm wewe ni yupi hapo?? Click to expand... Chungulia kwa chini hapooooo kushoto...
afrodenzi said: ammmmmm wewe ni yupi hapo?? Click to expand... Chungulia kwa chini hapooooo kushoto...
Vinci JF-Expert Member Jul 6, 2009 2,638 668 Jan 3, 2012 #9 hongera mkuu kwa kuukaribisha mwaka vizuri dua kwanza kabla ya kugonga menyu. very nice combination, chai na soda.
hongera mkuu kwa kuukaribisha mwaka vizuri dua kwanza kabla ya kugonga menyu. very nice combination, chai na soda.
ngoshwe JF-Expert Member Mar 31, 2009 4,131 931 Jan 3, 2012 Thread starter #10 Vinci said: hongera mkuu kwa kuukaribisha mwaka vizuri dua kwanza kabla ya kugonga menyu. very nice combination, chai na soda. Click to expand... Shukran...umeniona lakini hapo ??
Vinci said: hongera mkuu kwa kuukaribisha mwaka vizuri dua kwanza kabla ya kugonga menyu. very nice combination, chai na soda. Click to expand... Shukran...umeniona lakini hapo ??
sister JF-Expert Member Nov 23, 2011 9,014 6,846 Jan 3, 2012 #11 Saint Ivuga said: mwanaume unakuunywa soda kwenye mrija na mademu wanywe kwe ny nini? Click to expand... kwan mirija imeandikwa kwa ajili ya wanawake tu?
Saint Ivuga said: mwanaume unakuunywa soda kwenye mrija na mademu wanywe kwe ny nini? Click to expand... kwan mirija imeandikwa kwa ajili ya wanawake tu?
L Losemo Senior Member Mar 30, 2010 183 32 Jan 3, 2012 #12 Hapo mo siji. Wa2 wamekaa kama wanalishana sumu. ka!!!!
Mangimeli JF-Expert Member Sep 15, 2011 1,151 286 Jan 3, 2012 #13 izo za kitoto izo za kikubwa lazima maji ya dhaabu yawepo kaka
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,210 Jan 3, 2012 #14 ngoshwe said: Chungulia kwa chini hapooooo kushoto... Click to expand... yawii I rather not..
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Jan 3, 2012 #15 Sasa mbona hata haunikaribishi?
ngoshwe JF-Expert Member Mar 31, 2009 4,131 931 Jan 3, 2012 Thread starter #16 Young_Master said: Sasa mbona hata haunikaribishi? Click to expand... mkuu kwani umepita anga hizi?
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,890 Jan 4, 2012 #17 hahahaa.....!!.nmependa chai na soda. Mia
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 15,986 7,366 Jan 4, 2012 #18 soda watakunywa na mirija, chai je??
N Navoyne JF-Expert Member Dec 12, 2010 874 373 Jan 4, 2012 #19 Hii picha mlipiga ya nini maana hata ukumbusho haifai maana hamna sura...............happy new year.
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jan 4, 2012 #20 Wenyewe wako wakijua kama umewaleta JF, sahau mwaliko mwengine.